Apambane na vikwazo,Apige kazi, aepuke vijembe beef chuki atafika mbali.But naona kuna watu wanamsapoti sababu hawapatani na Mondi hii hatari sana maana hawa hawapo kwa mapenzi ya kweli wapo pale kumuumiza mtu flani awe nao makini maana muda ukienda na interest zao huweza kubadilika
Saidia kila mtu ndugu rafiki watu maskini wasiojiweza.Ishi na kuipenda familia yako.Weka mambo sawa before its too late maana atakayeumia ni mke na watoto wako.Ukiongelea kuhusu Reginald isingekuwa rahisi kumjua yupi ni yupi maana pesa nyingi huja na mambo mengi. Sio kila rafiki ndugu mtu baki...
Saa nyingine nahisi hao Regina na Abdiel wangekuw na familia /watoto Mengi aingehaika kuzaa tena. Angetembea na bidada tu na ingeishia hivyo.lkn mpk aamue vile ni fika kuwa ni jambo lililokuwa linampa mawazo sana. Maana kwa mtu kama Mengi alitaka jina lake libaki.Utasema kwani jina lake...
Aibu kuzaa na kutulia na mwanamke aliyeamua yeye? Au aibu kutembea na wanawake wengi hapa mjini?Umetaja hiyo list ya hao wanawake unajua chanzo cha Mengi kuachana na Madam?Most ya wanawake walioachana nae issue kuu ni alipokuwa akigundua anashare na mtu ndio kilichowacost. Jack alipoingia...
Mbona mama Mercy alimpeleka Mengi mahakamani muda tu na watoto wake wanaingiziwa hela za maana kutokana na shares za mama yao. Hapo wanapigania haki ya baba yao so far I know lbd kama hizi info hazikuw za kweli
Unahisi tunaandika andika tu siyo? Unahisi ni kwa nini wanaenda kuomba kusimamia hiyo mirathi? Unajua fika madaraka aliyonayo msimamizi na ndio ambacho kila mmoja anakigombania hapo.
Ni kweli Regina na Abdiel wanahaki. Kama ni wosia kutenguliwa whatsoever ila kila mmoja apate haki stahiki.Tunachoongelea hapa ni kumchukulia huyu dada kama kikaragosi Wakati na yeye alikuwa mke. Kwani Mengi alipita na wangapi asiwaoea amuoe huyu?Jacky kaolewa na kuzaa kama wanawake wengine...
Muamuzi bora hapa ni mahakama. Maana Mengi angeacha wosia kwa watoto/mwanasheria wake wa siku zote possibility ya Jack kuumia ingekuwepo. Angewaachia ndugu wakina Abdiel, Regina na mke mdogo wangeumia. Mahakama itende haki watoto na mke mdogo wapate haki inayostahili.Maana kama baba mdogo sjui...
Mifano uliyotoa ni mizuri hao walikuwa ni"vimada"hawakuwaoa waliwaficha.lakini huyu Jacky mzee akimficha? Kuna ambae alikuwa hajui anaishi na mzee?Huyo mzee na mke wake walitibuana since wayback. Habari za mwanzo zinasema Huyu mama Mercy alimuwekeaga Mengi sumu kwenye chakula akaokolewa na...
Mkuu kwa wanawake hiki sio kitu cha kushangaza wanaomponda hapa hata wakati akiwa na Mengi walikuwa wanamsemaUkisoma between lines hata comments zimejaa chuki.Hii kesi kila mtu anavuta kwake ndugu wenyew hao nimeshangaa sana mzee kafa wanaomba usimamizi wa mali ilhali Regina na Abdiel wapo hai...
Mtu ni waziri huko sjui posho anapata na ukute na double standard juu atawezaje kuona upande wa pili wa shillingi? Watu wanaongea tu but hawajui ni kiasi gani wengine wameathirika.Hao wazee wanaolia penshen? Makumpuni ya nje yaliyostopisha shughuli zake hapa ndani. Hao vijana wanaokesha mtaani...
Nikiwafikiria hao maengineer kumi waliopigwa chini akili inachoka. Hii awamu kufukuzwa kazi ni sawa na kunywa maji. Makosa ya kufukuzwa kazi yapo lkn kuna mengine ni makosa ya kutoa onyo na kumrekebisha mtu. Hata yeye mwenyew siyo mkamilifu maana angekuw mkamilifu hali isingekuwa hivi. Jamani...
Ila Mengi why hakuweka mambo sawa na bayana kwa watoto wake wakubwa na mke mdogo. Sasa hivi haya makesi kungekuwa hamna kila mtu angekuwa na mishe zake.Akina baba mkijua kabisa kuna mke mdogo/ mkubwa /watoto wa nje au whatsoever ekeni mambo sawa mapema maana kuna mmoja lazima aumie
Kwenye wosia simetei at all ninachomtetea ni watu kumsema huyu dada as if yeye ndiye aliyemlazimisha Mengi kuwa naye. Kuwa treated kama a prostitute watu hawaconsidi kuwa huyu dada ameishi na Mengi in one roof na amezaa naye. She is a mother already. Ingawaje alichofanya Kwenye wosia hakikuwa poa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.