Wakuu habari za muda huu?
Kama kichwa cha uzi kinavyoeleza kwa ambaye hakubahatika kutazama machi kali na yakuvutia ya Mtanzania Mbwana Ally Samatta inaonyeshwa marudio muda huu kwenye chanel ya supersport3 wale wenye kisimbuzi cha Dstv sjui ni chanel gani nyingine, ila mimi nmeona hio ndiyo...
Habari za mda huu wajameni nadhani mtakuwa poa sana
Kama ambavyo kichwa cha mada kinavojieleza vizur je ni nani amejiandaa kuwa tayar kumpokea kwa kumsikiliza mwana habar na mtangazaji pendwa na nguri wa habar za michezo Tanzania wa kuitwa Maulid wa Kitenge na kwenzake wa 3 kwa mara ya kwanza...
Kwa msaada wa wengi nmeamua kuacha uvivu wa kutyope Mi nilikua nawachora tu wanavo jazana ujinga eti Samsung hazifai nawacheka kwa dharau nmetumia tecno. Kama simu 4 hivi mke wangu kama 3 sina hamu na hizo cm zinakera sana kuganda ganda kila mara haitaku kufanya vitu vingi kwa wakat mmoja...
Kwa sifa hizo na bei hiyo bora uchukue Samsung a10 kwa 260k au A20 kwa 320k yenye kio cha super amoled, fast changing ndani ya saa 1¼cm imejaa 100% performance nzur haigandi gandi kijinga kama hayo ma infinix na matecno,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.