Mi nimeikuta zimebaki timu 49. Zimekubali zote kasoro moja ya Besikitas nayo imeahirishwa. Asanteni sana waunhwana kwa kushea codes[emoji122][emoji122][emoji122]
Wajenge uwanja wa ndege wa maana Bukoba. Waache kuendekeza ukabila na chuki dhidi ya watu wa Kagera. Kauwanja ka ndege kamebana mji wote na kapo mjini katikati, wamelazimisha hadi kamegawanya mji katikati, huwezi kwenda upande mwingine mpaka uzunguke. This is shame.
Alafu baadae mnakuja...
Kyoma naiwe oli wa nkaa si?
Kwani anapolalamikiwa makamu wa Rais, kipindi kile cha Magufuli nani alikuwa makamu wa Rais? Kutetea uovu ni kazi sana[emoji2][emoji2]
Bila shaka atakuwa amelelewa na single mother. Narudia tena kutoa ushauri usijichanganye kuoa mwanamke aliyelelewa na single mother. Kwa.maneno mengine usioe mwanamke ambae mama yake ni single mother. Ukibisha shauri yako
Ila kuna watu ni mattercall kabisa!
1. Yanga ilipotolewa safari hii ndipo ambapo mwaka jana Simba ilipotolewa na kwenda shirikisho na hatimae ikafika robo fainali ya shirikisho. Yanga kutolewa isiwe hoja sana kuwapanikisha wasemwe vizuri ili wafanye vizuri shirikisho hata zaidi ya Simba mwaka...
Naiunga mkono Tanzani 100%. Tuwaache hao nguruwe waupe wauane tu wao kwa wao na wao wajue raha ya vita na ukimbizi. On the other hand Zele kaiuza nchi yake kwa mabwana zake yeye mwenyewe. Ajitetee mwenyewe
Ndo mjue mrusi ni dude. Yaani USA na Europe wakiungana ndo wanaweza kutoa upimzani sawa na Russia. Alafu kuna mazezeta humu wanabwabwaja tu. Mnaijua Russia na USA kumzidi Elon Musk nyie? Amajua alichokutana nacho angani mpaka akaamua kuomba poo[emoji2][emoji2]
Kifupi jamaa amemaanisha kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.