..wajua Mh. Rais JPM kamwalika Nabii wake TB Joshua ambaye ndie alimbariki kugombea urais ili aje ayakimbize kwa Jina la Yesu majini yaliyowekwa pale magogoni kwa miaka kumi ya utawala wa mfuasi wa Mudi ili yeye akiingia Ikulu awe ametakaswa! Sasa Maamuma wa mama mdogo wanahaha ingawa kuna...
..mimi sina noma na kutoa hata M kabla ya kupewa papuchi ila cku naja kupewa kitu nitamfanya huyo hatakaa amhadithie hata shoga yake wa ukweli, maana lazima nimkate hadi ile ya kidizaini fulani...c mnaijua wenyewe? !
..ingawa background ha stori yake cjaipata fresh ila kama ndo hivyo ili kumuweka roho juu na wewe asikujue mtumie hizo picha na ujumbe kwa njia yoyote ya siri ila hakikisha unabaki na originals. Nakwambia atadata coz hatajua nani au wangapi wana siri yake!
Q1. According to taarifa ya Waziri Kawambwa shule tatu zenye wanafunzi waliofeli zaidi zipo mikoa ya Lindi, Pwani na Unguja. Why? Briefly explain. (100 Marks)
..sijui allah ila YEHOVA ametuagiza "Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako (Methali 4:13). Vilevile Methali 1:7 yatuambia, Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu.
..wewe ni MAAMUMA! Ni makubaliano tu na wala sio sheria kwamba muislam ndo awachinjie wengine. Mimi kwangu nachinja vizuri tena ndio nazidisha kitimoto ili kupunguza wazee wa kudoea maana mmezoea kuondoka na shingo, vichwa na miguu kwa kisingizio cha haki ya kuchinja! Mkienda Ulaya mnavyokulaga...
...Mmmmmhhhh, una uhakika huwa hawa~do?!! Wapo wenye watoto wanaowalea kwa kificho au kuwaweka kwenye vituo vya kulelea vya dini bali wengine huwa ni wao! Mtazamo tu, usini~quote!!!
..----, ----!! Akili zako ziko~scrambled kama jina lako, LOL!! Curriculum ndo foundation na guideline ya kuweka benchmark za levels zote za elimu tangu primary hadi university, bila hivyo ni sawa na kuhudhuria darasa bila kujua fate ya wanafunzi ni ipi! Acha u~maamuma ww juha kalulu!!
..usawa upi unaotaka? Hii nchi si ya waislam na wakristo pekee ndo maana Serikali haina dini! Ukitaka usawa wa kidini jiulize kila dini na dhehebu likitaka maslahi yake katika katiba hii nchi itakuwa ya nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.