Hapa hapa Tanzania kuna jamii za watu hawajawahi kabisa kuona train!
Unadhani kutoifahamu treni, kunaweza kumfanya ashindwe kujenga taswira akilini mwake?
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Unaweza kuota unasikia kelele au hata mazungumzo fulani (kiini cha ndoto hizi ni sauti ).
Unadhani mtu mwenye ulemavu wa macho hawezi kuota ndoto za namna hii?
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Hospital ninayopeleka kijana, wamecancel bima ya NHIF kwenye orodha ya bima wanazopokea!!
Hawakuishia hapo! Wameandika kabisa tangazo kuwa hawapokei bima ya NHIF!!
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Mkuu wewe ni aina ya watu wanaotaka kila kitu kifanyike kwa usahihi na ukamilifu wake..
Mbaya zaidi viwango vya usahihi na ukamilifu huwa unapanga wewe!!
Hiyo hali itakusumbua sana kwenye kuchangamana na watu.
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Kwenye huu mradi hata wangenunua mabasi ya wazungu bado yangekufa tu!!!
Naanza kuamini nidhamu ya kutunza /kujali vitu inajengwa utotoni...
Bahati mbaya wengi wetu hatukujengewa nidhamu hiyo! Tutabaki kunyoosheana vidole tu..
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Kwenye hili hata wasingekwambia, ni lazima ufatilie na ujue maendeleo ya mtoto wako!!
Nadhani lugha iliyotumika hapo haijakaa vizuri..
Lakini ni jukumu la mzazi /mlezi kuhakikisha mtoto anajiandaa vyema kwa ajili ya mitihani.
Jamaa mmoja aliwahi kuleta uzi humu kama sijasahau ni 2017!
Alihimiza sana watu wale majani, siyo matamu ila atleast yanazuia njaa!!!
Chakufurahisha zaidi, alisema yeye huwa anakula majani ya mparachichi kila anapoelemewa na njaa!!
NB: sijaandika kukejeli, ila stori yako imenifanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.