BEHOLD, [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji3][emoji3]cherokee ,mz booty na alycia star ni wayaaaaa hiyo mimama lkn wenye chama tunajijua vizuri ila mm nishaacha jamaa apambane tu hiyo hali ya kawaida saan
Oi kiongozi hizo dharau sasa mbaba matusi hayo au umejiskia kuandika tu skia kama shida ni caption ya kwa juu hapo hiyo imeteleza kiongozi Arusha imetuathiri hiyo lafudhi so sio unaandika tu mbaba tunaelekezana kiongozi
Nimetokea kitm college ,ngazi ya cheti sasa nimeapply chuo kingine kusoma diploma ambacho ni NIT so nataka kujua uwezekano huwa upo wa kuingia coz na G.P.A ya 3.9
Sijaelwa hapo kule kwenye calendar wanasema 5 october ndo wanatoa majina sasa inakuwaje hapo dirisha dogo tena wakt hatujui kama tumechaguLiwa au lah kwa ss wa diploma msaada tafadhali jombaaas
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.