Samahanini kwa wale mnaonipm kua nilipie ili niunganishwe moja kwa moja kwenye kazi
Ndugu zangu kweli na shida tena sana ya kazi ila PESA SINA Yani kama unaona kuniunganisha mpaka nilipie naomba usinipm maana SINA HELA
Habari zenu wakuu
Mimi ni binti miaka 23 naishi Dar natafuta kazi yoyote ya halali mkoa wowote[emoji1431]. Hata ya kujitolea tu nipo tayari. Elimu yangu nina Diploma in Procurement and Supply Management.
Nina imani nitasaidiwa humu.
Asanteni.
Wakuu habari zenu
Kuna tetesi producer luffa anaumwa sana ila wanaficha ficha vipi kinamsibu nini
Namkubali sana chalii
Kuna kipindi waliomba msaada Instagram kwenye account jina nimesahau kidogo ila hiyo post ilifutwa ni kama vile wanaficha ugonjwa
Mimi kama shabiki yake nambari uno...
Dawa zipo nyingi ila inategemea na ngozi yako. Kuna ngozi ina mafuta sana na kuna kavu ama mafuta kiasi.
Na kuna ngozi zinakubali dawa haraka na kuna ngozi zinareact taratibu. Kuna dawa za asili na za wazungu
Dawa za asili
1. Changanya manjano, liwa, limao na asali ama ndizi mbivu. Unapaka...
Kweli kabisa
Mimi niliachwa nikiwa stand ya mabasi kilio chake sio cha kawaida
Kuachwa kunauma sana haswa yule mtu ambaye unampenda na hujatarajia kuachana nae kwa wakati huo
Habari zenu wakuu
Kama kichwa kinavyojieleza’ hivi unahitaji mtaji wa kiasi gani ili kuanza biashara ya chakula? (Catering) ukitoa kodi la pango, I mean vyombo na nafaka
Pia changamoto zake nahitaji kufahamu
Na sehem ipi nzuri kwa dar (yenye unafuu)
Na mchanganuo wake
Asante!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.