Mkuu, natumia simu hapa siwezi kuweka link, ila jaribu ku-google kisha u-download wimbo huu hapa, Shakira, la la la.mp3 (Official Fifa World Cup 2014).
Jambo hili lilibandikwa hapa jana na member mmoja aitwaye 'ba nso' mida ya saa 4:11 usiku kuhusu kuugua kwa mmoja wa wagombea...nai paste hiyo habari hapa ...
"salaam wanajamvi,
ninatabiri ugonjwa kwa mmoja wa wagombea
cheo cha mwenyekiti anayetazamwa na wengi
kua mshindi adi...
Safi. Haya ndiyo niliyomuuliza mleta uzi hapa, je amepeleka hayo malalamiko yake huko Takukuru na kupata maelezo yao au amekurupukia jf tu??
Tusiwe wepesi wa kutuhumu pasipo ushahidi wa kutosha, inaweza kupelekea kujiingiza kwenye matatizo bila sababu za msingi.
Je, ulishaenda Takukuru kuwauliza juu ya hayo uliyodai kuyabaini na kupata maelezo yao au umekurupukia humu jf tu? Kama ulienda na ukapewa ufafanuzi/maelezo yao, hukuridhika nayo na hivyo umeamua kuleta huku jf ili na jamii iingilie kati?
Nadhani, si busara na uungwana kukimbilia kutuhumu mtu...
Habari wakubwa.
Samahanini, ninaomba kujuzwa juu ya utaratibu unaopaswa kufuatwa pale mtu anapohitaji kubadilisha rangi ya gari zima. Je, kuna gharama zozote kisheria katika mchakato huo-mfano inabidi kubadili na kadi ya gari husika?
Natumai hapa ni jukwaa sahihi kwa suala hili, hivyo...
Wakubwa, natumai mu wazima na Mungu anawapigania.
Naombeni msaada wa kujuzwa na wajuzi wa mambo katika hili, kwanza samahanini kama nimekosea jukwaa sahihi la kuulizia.
Ok, kwa raia wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), je wanahitaji VISA wanapotaka kuingia...
Hapa mi cjaelewa huu mwingiliano, kwani mizani wanapima nini, sio uzito?? Asa urefu umewahusuje? Na kama kwa urefu huo ilibidi kuwe na magari ya escort, je mamlaka ilopaswa kukamata kwa kosa hilo ni tanroad/mizani au ni polisi wa usalama barabarani?!
Sijui, labda wataalamu wasaidie hapa.
Habari,
Naombeni kujuzwa kisheria katika hili.
Je, inawezekana kufungua kesi ya madai katika mahakama ya wilaya na kisha mimi mdai nikaweka wakili wa kuniwakilisha katika kesi hiyo pasipo mimi kuhudhuria mahakamani kila wakati wa kesi? Sababu ya kutohudhuria ni labda niko mbali na kesi...
...Pia inawezekana tatizo likawa ni kuisha kwa Engine Lead wires (zinavujisha moto/umeme) au Ignition coils zake zimeisha. Ukiwa gereji jaribu kubadilisha hzo lead wires uone au hizo coils uone. Lakini yote kwa yote, hilo ni tatizo la umeme, siyo mechanical... Pole. Usisahau kuleta feedback...
Cha kufanya, kwanza nenda kaombe wakupe Bank Statement ya hiyo akaunti yako kwa muda wa angalau mwaka mmoja hadi say 28 May 2013. Ukishapewa, ichunguze uone miamala (transactions) yote ilivyofanyika, ukiona huielewi elewi, ndipo sasa unaweza kwenda kuwauliza kujua ni kipi kinaendelea kwenye...
Samahani naiweka hii kwa kutumia simu...chanzo: Mbeya Yetu blog.....
HII NDIYO TAARIFA KAMILI YA WALIOKUTWA WAKICHUKUA HELA
KWENYE ATM YA NMB RUNGWE-
JALADA LA UCHUNGUZI.
MNAMO TAREHE 25.02.2013 MAJIRA YA SAA 20:40HRS HUKO KATIKA BENKI YA NMB TAWI LA TUKUYU LILILOPO TUKUYU MJINI...
Mkuu, ukiuliza hili swali mbele za watu wengi watakucheka, how come mtu uwe ni Naibu Katibu Mkuu Taifa, bara then usiwe mjumbe wa mkutano mkuu? /baraza kuu!?
Mi nauliza tu, huyu Waziri Profesa hana uhusiano wowote na yule wa kina Masanja wa Orijino Komedi maarufu kama "La' Profeseri"?! Nahisi kama jamaa huwa wanamgusa huyu! Mtu ni waziri wa nishati, wananchi wanamgogoro juu ya nishati, anaulizwa ye anasema hajui?? Kweli? Ningekuwa mwandishi...
Mkuu nyondoloja, thanx kwa kushare ujuzi huu muhimu. Naomba niulize, kwa upande wa channels za dstv, ni channels ngapi unapata na ni zipi? Pia kwenye kutoa nyaya toka kwenye LNBs kwenda ndani kwenye receiver, unatumia disc switch ngapi au ya aina gani? Thanx.
Wakuu, habari. Kuna hii kitu kuhusu kujipatia ajira at home na kulipwa commission, je wajuzi wa haya mambo, vipi inahusika au ni miyeyusho tu?
http://naturalpay.com/ref.php?page=act/ref&invcod=18575
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.