Miadhala yote ni ya kuchambua bibilia.je hiyo miadhala na huo mda ungekua unatumika kuchambua tufanyaje kuzuia elimu isiendelee kushuka.Tuisaidiaje serikali ili iweze kuwalipa madaktali na sekta nyingine ili wasigome na kuathili walala hoi ingekua vyema zaidi.
Nimtu makini ataisaidia sana wizara na ni mtendaji mzuri mwenye msimamo anaejua nini anafanya.Sifa nyingine kubwa aliyo nayo hapendi kubuluzwa katika utendaji wake wa kazi.
Nijuavyo mimi kwa mujibu wa katiba ya jamuhuri ya mungano wa Tanzania,ni haki ya msingi ya MTANZANI ailefikisha miaka 18 kushiriki katika chaguzi za udiwani na ubunge,kugombea,kuchagua au kuchaguliwa.
Hilo hata baba wa TAIFA MWL JK NYERERE aliliona na aliwahi litolea tamko katika sherehe za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.