Search results

  1. M

    Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

    Aaaaiiiseeeee! Hemu ngoja nile kwanza ugali wa mtama umechanganywa na muhogo mboga ni kambale na chanise na mtindi.
  2. M

    Natamani sana Makonda aje kuwa Mkuu wa Mkoa Mwanza

    Upande wa chakula naona haina shida,wamemsagia mashudu,wamemchanganyia na pumba za mahindi na chimvi. Hatachelewa kukua na atakuwa na shape nzuri Kama baba yake
  3. M

    Kwani ni lazima wawe Wabunge?

    Masikini Kangi Lugora
  4. M

    Je, kupotea kwa Makonda ni kazi nzuri ya kitengo kumpiga misinformation agombee Kigamboni ili kuliondolea taifa adha ya viongozi wa hovyo?

    Sababu ya kukosa akili,Sasa ngoja sisi tuje tuifanye kwa uzuri kwake mpaka wezere isambae utazani tikiti maji limepigwa risasi za short gun.
  5. M

    Ulinzi wa Lissu hatari, matukio yake yote yanarekodiwa

    Kwa sauti yupo kigamboni analea wezere lake
  6. M

    Mambo 10 niliyojifunza katika mikutano ya Tundu Lissu ya kutafuta wadhamini

    Eti kulipa visasi,kwani wameshapatikana waliompiga risasi? Au umesikia wamekamatwa walinzi ambao hawakwenda lindo pale area D siku anashambuliwa?
  7. M

    Uchaguzi 2020 Kwanini Paul Makonda ametoswa na Patrobas Katambi amepata uteuzi?

    Akimsogeza Dodoma atawateka na kuwatesa na kuwauwa wabunge wenzie wa CCM wanaoikosoa serikali bungeni
  8. M

    Uchaguzi 2020 Kwanini Paul Makonda ametoswa na Patrobas Katambi amepata uteuzi?

    johnthebaptist, Wa kumuuliza ni mtu mmoja tu,mmiliki wa hifadhi ya Burigi maana alisema tangu awali itategemea kaamkaje?
  9. M

    Uchaguzi 2020 Wagombea waliohamia CCM wapitishwa na chama kugombea Ubunge

    Na hii itakuwa akili ya Mwenyekiti tu maana yeye ndo aliye asisi project ya kununua watu
  10. M

    IGP Sirro: Tunakichunguza Kituo cha Kutetea Haki za Binadamu baada ya kupokea fedha nyingi takriban Tsh. bilioni 6 kutoka nje

    Fungu lilitoka mfuko mkuu wa hazina,pale Kuna mtoto wa dada anaitwa Dotto ni kumpigia simu tu.
Back
Top Bottom