tena wawakumbushe, mwenyekiti wa sadeki aliwaahidi wanambeya kuwa hii ndege itabeba maoarachichi kwenda uraya, hata kama wao wenyewe hawatapandapo. sasa wanakwamisha juhudi za biashara ndani ya member state wa sadeki
Jaji Lubuva alaaniwe kwa nguvu zote! na ninaomba alipwe hapa hapa duniani- yeye na tume yake yote! maana ile IT team ya Masaki naona imeshaanza kupata malipo yake, sasa naomba na jaji lubuva na tume yake wapokee malipo yao!
wewe lazima utakuwa na vinasaba vya jalalani! hivi shuleni huwa mnaendaga kusomea ujinga?? (in FaizaFoxy s voice). haiwezekani mawazo ya takataka kama haya yakatoka kwenye mtu mwenye akili timamu! lazima utakuwa umelogwa wewe! full stop
kila mtenda wema atakumbukwa kwa wema wake.....
naimba tuu.......
tena nafunga na kuomba Mwenyeezi Mungu awachome zaidi hapa hapa ulimwenguni ............
Mlishakatazwa kuhoji jamani, hamsikii?? mwenzenu hakulala siku kadhaa kutengeneza hii sinema, halafu bado mnahoji tuu???
halafu mwingine anauliza kuhusu simu, mara kwa nini hakureport polisi salenda maana ni njia ya kutoka gymkana kwenda kwao uzunguni, mara kwa nini hivi, mara vile, eeh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.