Uandishi mwingine ni kichefuchefu . kwani Lipumba alijaza fomu ya kuomba kugombea? ni lini cuf walikaa na kuchambua majina ya waombaji? unanukuu habari toka Clouds?
Nimewaona madaktari bingwa pale muhimbili lakini bado sijapata Tiba. Kama unamawasiliano na madokta nje ya nchi wanaoweza kumsaidia Mwanangu naomba unisaidie plz
Dr nina mtoto ana miaka 4 kufikia mwezi Novemba mwaka huu. tatizo lake hasemi mpaka sasa, ni mara chache anaweza kusema baba au mama basi, anasikia vizuri, Nilimpeleka muhimbili Dr kasema tumpeleke shule ya awali ajichanganye na wenzake na kwamba hana tatizo lolote la kumzuia asiongee...
Haina ubishi Magufuli hafai. Kua Rais ni mtu wa jaziba na kuropoka na ni mtu wa kukurupuka na hatambui mihimili mingine atatuletea maafa na machafuko makubwa
kukurupuka huku kwa Magufuli ni bomu baya zaidi ya bomu la atomic hasa karne hii ya kistarabu. Ambapo ubabe udikteta na uropokaji haupewi nafasi kabisa. Hatufai huyu atatumaliza na mijaziba yake
Ni ujinga ulio pitiliza kusema hapakazitu umeme hakuna. Watu wanakufa na wengine wengi wakiugua kipindupindu. Ni ujinga zaidi kwa wale wasio na kazi nao kushiriki ujinga huo eti hapakazitu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.