asiye na dhambi na awe wa kwanza kurusha jiwe
Usinihukum nipe ushauri
Asante kwa ushauri wako ila mm napima kila wiki sasa tangia nimekutana na huyo mwwnamke
Habari za wakati huu wanajamvi
Naomba nitoe utambulisho kwa kifupi tu,,,,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 35 nina mke na watoto kadhaa ni mfanya biashara hivyo hulazimika kusafiri mara kwa mara hali hiyo imekuwa inaniladhimu kuwa mbali na mama watoto.
Katika kusafiri kwangu hivi karibuni...
Naomba wajuzi mnijuze faida ya kununua bidhaa mtandaoni kwa mm mjasiliamali ambaye nahitaji kuboresha biashara yangu ya umachinga yaani duka bila flem wala leseni ya biashara zaidi ya kitambulisho cha mh
Huo msaada wa Abood wa kutoa basi kwa shughuli za mazishi ni mdogo sana ambayo ni chini ya 10% kwa wahitaji kwahiyo usishangae watu kushangilia inawezekana wapo pia ambao walihuzunika lakini kwa uchache wao ndio maana hawakuonekana
Kweli ishu sio kipato lakini jambo hilo mpaka limepitishwa inamaana kuna hatua za kuwashirikisha wazazi zimefikiwa ama wakati wakujiunga na hiyo shule kuna maelekezo kama hayo kwahiyo ni hiari yako mzazi kukubali ama kukataa kwa maana ya kumhamisha mtoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.