Kama mada ilivohapo juu, nilianza kuumwa siku kama na nikaenda kupima majibu yakaja nina Malaria, lakini kadri nikinywa dawa nilizopewa ma kumeza ,mala mdomo na mate vikawa tasteless kila food nakiona kibaya, mwili ukaanza kuishiwa nguvu hadi sasa siwezi simama hata kwa takika 5 hivyo nikastop...
Habari wakuu na madaktari wa hili jukwaa.
Nimepata changamoto ambayo imebidi nije wajuzi mniambie what could be wrong. Few month ago kama miezi miwili hivi nilianza kuwasha juu ya ngozi kifuani hasa usiku nikiwa nimekaa tu, najikuna kifuani but nikawa naona kawaida tu but sasa vimetokea vipele...
Should we thank GOD/ ALLAH
?!
Mungu vinywa vyetu vimejawa na maneno ya Shukrani.
Tunashukuru kwa ajili ya 2020, umekua nasi January mpaka December.
Asante kwa yale ambayo umekwisha kuyafanya, asante kwa yale ambayo bado hujayafanya, asante kwa yale ambayo umefanya kwa sehemu tuu, Tunaomba...
Pata hand sanitizer kwa gharama nafuu, unaletewa popote ulipo ndani ya Dar. Mikoani tunatuma pia
Prices ni kama unavoona kwenye jedwali.
Contact me Direct : 0674535975
Order as many as you want and get a discount.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hello! Habari wakuu,
Niende direct kwenye mada, kutokana na shughuli zangu ninazozifanya kwa sasa, nalazimika kutafuta usafiri wowote mdogo wa gari (gari ndogo) ili kurahisisha kazi yangu na kuwafikia watu wengi zaidi pamoja na kufanikisha delivery zangu za kila siku, pia sababu natumia pesa...
Habari wakuu, karibuni sana muweze kuniunga mkono kwenye biashara yangu.
Hapa takua napost na kuuza vitu used na vipya pia. Ukiona kitu ukakipenda tafadhari wasiliana nami kwa maongezi zaidi, of course discount na bargaining itakuwepo. Pia kama unauza kitu chako chochote iwe gari, iwe nyumba...
Toyota Harrier new model
Reg DES
Cc 2360
Ya mwaka 2007
Good condition
Full paid
Full documents
Bei Kama Bure ml 16,500,000/
Maongezi yapo kwa serious customer.
Contact : 0764320475
NB: Gari haina tatizo lolote kila kitu kipo sawa INA full documents na vibali vyote. Inauzwa kwa dharura tu...
Hello Habari Wakuu.
Nahitaji mtu ambae ana gari yake ndogo ndogo mfamo Vitz, IST, wish, spacial nk namba C ambayo amepaki tu nyumbani haitumii aweze kuniuzia kwa makubaliano ya malipo kila mwezi.
Nina uwezo wa kulipa laki 4 kila mwezi kwa miezi tutayokubaliana kutokana na bei ya gari...
Basi nimekaa hapa leo with sad face, thinking too much and try to figure out why the World is not fair.
And at the first time Mimi kijana wa 24years old nilievumilia mengi na ku-struggle too much in my life NIMELIA KWA UCHUNGU.
My young sister wants to go to collage na sina pesa , My mother...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.