Nimefuatilia katika halmashauri hakuna huo waraka!Wewe umetoa wapi huo waraka?Hata wizarani nasikia wametoa taarifa walimu wasihadaike na huo waraka feki.Weka link ndo tutakuelewa vizuri!
Angalia usije ukatolewa kuxha shauri yako.
Hali hii itaendelea hadi kesho,mimi sikubali hadi kieleweke.haiwezekani mwanafunzi wangu niliemfundisha mwaka 2005 alimaliza standard seven,leo hii ni dereva analipwa mshahara wa Tshs 420000 wakati mimi nbdo kwanza nimepata promosheni napokea Tshs 176000 baada ya makato yote.hii ni haki kweli...
yaani mimi ni mwalimu,ni bora nikakae kwetu na kufanya shughuli nyingine kuliko kuwa mwalimu.hebu niambieni jamani,nina mwanfunzi wangu alimaliza std seven 2005,asa ivi ni dereva hata hajasoma kokote.analipwa mshahara 350,000 kwa mwezi na kapewa nyumba ya kuishi.mimi hapa nilipo hata promoshen...
kweli itafikia kipindi watu tutaichoka hii serikali,leo tarehe 5 novemba sijapata mshahara.ina maana nimeikopesha serikali? na kama nimeikopesha basi tuandikiane mkataba ili serikali inilipe na RIBA basi.mwezi uliopita nilipokea mshahara tarehe 9.leo hii tena hamna kitu.kuna nini huko kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.