Asante kwa mawazo ila mawasiliano ninayoulizia hapa ni juu ya biological mama kuulizia mwanae anaendeleaje huku ugenini amuulize mzazi mwenzie yaani baba watoto au mama wa kambo?
Habari zenu wana jf,naomba kujuzwa unapolea mtoto wa mwanamme mawasiliano ya maendeleo ya huyu mtoto yawe yanapitia kwa huyu mama wa kambo au wawasiliane wenyewe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.