Signature inajieleza mbona.......
1. sababu ya karatasi kufutwa namba na kuandikwa nyingine......!!!!!!!
2. Kura zimeharibika tu Pemba........!!!!!!!!
Kali ya kufungia mwaka.....
Mkuu utakuwa umekosea hasa,kati ya watu waliokataa ufigisu ni Kitambi, alifukuzwa kwa kutumia waandishi wa habari ile picha wakipita porini.....
Hata hao walikuwa wataalamu wametokea huku hakuna aliyezaliwa na kujua kitu bila kujifunza....... dhamini cha kwako.... mcheza kwako hutunzwa....
Wanabodi
Msaada kwa mtu mwenye kujua apps ambayo inahusika na kutoa notes kwa mfumo wa pdf au kama ilivyo biblia, kwa fani ya uhasibu na managements.
Nitashukuru sana.
Ahsante
Wanabodi
Nina printer aina ya hp 1018 ambayo nikiprint page ninayotaka huwa inaprint page ambayo mimi sijaprint, huwa inajirudi mara kwa mara.nimeambatanisha aina ya page ambayo huwa inajiprint.
Naomba namna ya kustopisha page hii.
Ahsante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.