Nipo kwenye ndoa kwa muda wa miaka saba, lakini naona nataka kuyashindwa haya maisha ya ndoa, maana nimekuta msg kwenye simu ya mume wangu ameandikiwa na dada mmoja nanukuu'' mpenzi samahani kwa kukucheleweshea...'' Nilipomuuliza mume wangu akaniambia eti ofisini kwao kuna huyo mdada anamwita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.