Napenda alivyo mkweli huyu mzee! Hana tofauti na prof Mwesiga Baregu! Wakweli japo ukweli wao mara nyingi unawaponza.Laiti kama serikali yetu ingependa kupata na kufuata ushauri wa wasomi kama hawa tungekuwab mbali sana.
nampongeza "fisadi" sabodo kwa uamuzi wake huo.lakini naona pesa angewapelekea walengwa kabisa.....maaana hata ndani ya chadema hawawezi kukosa nondo wachache watakaotafuna pesa kidogo na kufanya msaada huo usiwafikie walengwa!
Jamani tuache kupoteza maana,umuhimu na uzuri wa jambo.Alama za freemasons zipo nyingi mno,hata kwenye pesa (noti na sarafu )nyingine zina alama za freemason,mwanzisha topic inawezekana ana nia njema ila namshauri ajaribu kufanya uchunguzi wa mambo zaidi kwamba asifanye alama ya V kuipunguzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.