Search results

  1. Entreprenuare

    Biashara gani ya mtaji mdogo inafaa kwa wageni Kariakoo?

    Wapambanaji wa hapo Kariakoo, naomba mtuambie business gani atleast ni rahisi kwa mtu mgeni anaweza akajitosa hapo, na kaanza biashara hata kwa mtaji mdogo. Maana population ya hapo Kariakoo, inatia moyo kufanya business. Mtupe business ideas za kuishi nazo, hapo Kariakoo. Nawasilisha.
  2. Entreprenuare

    Kampuni ipi ya ulinzi inalipa vizuri?

    Wakuu habari, Kampun gani nzuri ya ulinzi inayolipa atleast vizur kwa wafanyakazi wake. Hali ya kimaisha imekuwa ngumu sana, Nataka nijitose huko kwenye ulinzi tukusanye mitaji. Level yangu ya Elimu ni "Bachelor of insurance and risk management" Cheti cha jkt ninacho. Asante
  3. Entreprenuare

    Tanesco mnashida na Kimara?

    Aisee hili swala la Tanesco kukata umeme mara kwa mara hasa huku Kimara linakera sana.. Yani umeme unakatwa asubuhi mpka jioni, hiyo. Mambo yetu mengi yanaferi sana, hasa Kwa sisi wajasiriamali tunao tumia umeme.. Halafu mnataka maendeleo ya viwanda, sijui ushenzi gani Tuonane tarehe 28
  4. Entreprenuare

    Nauza majogoo ya kuku

    Bei :20000Tsh Mahali : Kimara korogwe, Cont: 0745098591
  5. Entreprenuare

    Tutafute pesa

  6. Entreprenuare

    Ushauri kwa Wanavyuo

    Wadogo zangu mnaotarajia kuingia vyuoni, mkasome kwa bidii zote ila kuna siku mtakuja kugundua, tunahitaji PESA na wala sio GPA , na mrundikano wa ma VYETI. Ni hayo tu lakini.
  7. Entreprenuare

    Hali sio hali, loan board punguzeni asilimia

    Wakuu! Nategemea kupata kiajira fulani, hapa ni baada ya kukaa home 3 yrs baada ya kumaliza chuo, Mshahara ni laki 2. Mbaya zaidi nafikiria 15% ya loan bod.
  8. Entreprenuare

    Biashara ya korosho

    Mwenye uzoefu na biashara ya korosho, naomba anijuze .. Kununua na kuuza, korosho
  9. Entreprenuare

    Bia na bisi

    Wakulungwa! Hii huwa sielewi, kuna chemistry gani kati ya bia na bisi, ? Maana huwa nikifika tu bar, utakuta mdada mrembo,ananiletea bisi, baada ya kuagiza vyombo. Au ndio yale yale, siku hiz watu huwa nawaona wanakula mihogo na dagaa.. Huyu Chief cooker, anaye design hivi chakula , itabid...
  10. Entreprenuare

    Pepsi shida ipo wapi?

    Nimenunua soda, nimekuta chupa ina matope yaliyo kauka. Kweli mnajali afya za walaji?
  11. Entreprenuare

    Nauza maziwa fresh

    Habari wapendwa Nauza maziwa fresh ya ng'ombe, Bei , 1 liter 2400Tsh Nusu, 1200Tsh Location: Dar es Salaam , Kimara Cont: 0654171555
  12. Entreprenuare

    Ujumbe wako kwa wanafunzi wa Vyuo Vikuu watarajiwa

    Una ujumbe gani kwa wanafunzi wanao tarajia kuingia Vyuo Vikuu. Mimi ujumbe wangu " Mkasome, kwa bidii" huku mkijua maisha huko chuo, ni tofauti kabisa na ya huku mtaani.
  13. Entreprenuare

    Msaada wa kisheria

    Mtuhumiwa wangu hakuwasili mahakamani bila kutoa taarifa ya kuto kuja mahakamani, siku ya kusikilizwa kesi na kuja na mashahidi. Tarehe Y nimeambiwa nirudi mahakaman, kwa kutolewa order ya kutafutwa yeye na mdhamini wake. So what will be the last decisions from the court after them kukamatwa.??
  14. Entreprenuare

    Mvua za DSM

    Hapa DSM usiku huu kuna kamvua kanipiga mixer baridi. Aisee tusio kuwa na wapenzi, tukumbatie mito tulale.
  15. Entreprenuare

    Nini cha kufanya kabla hujanunua kiwanja?

    Naomba kufahamishwa vitu gani vya muhimu sana kabla hujanunua kiwanja, ili kuepuka utaperi wa aina yoyote ule, au kuuziwa kiwanja ambacho teyari kimetengwa kwa ajili ya matumizi ya Serikali...
  16. Entreprenuare

    Mtandao upi una vifurushi nafuu Tanzania

    Wakuu mnatumia line gani zenye ma bundle nafuu? Mimi natumia TTCL ila sasa, wamefanya utopolo wa kiwango chake, yani 3500 GB 2.5 kwa week. Wakati ilikuwa natumia 2500 GB 3 kwa week, yani sasa hiv natumia sana pesa kwa ajili ya bundle. Nyie mnatumia mtandao gani atleast nipate hizo gb 3 kwa bei...
  17. Entreprenuare

    Msaada wa kisheria: Naomba ufafanuzi pale inapotokea mtuhumiwa kutofika Mahakamani bila kutoa taarifa kwa Mahakama

    Wakuu naomba kuuliza, Hivi inapotokea mtuhumiwa kutofika Mahakamani bila kutoa taarifa kwa Mahakama, siku ambayo mahakama iliamuru mlalamikaji kuja na mashahidi mahakamani. Je, Mahakama huwa inachukua hatua juu ya mtuhumiwa? Pia, kwa mimi mlalamikaji, nitapataje haki yangu?
  18. Entreprenuare

    Salamu zangu kwa wahitimu wa Vyuo: Ni vizuri ukachanganya maarifa uliyonayo yaani uwe na ya Darasani lakini usidharau ya mtaani

    Nature ya mtaala wetu unatokana na Misingi ya kikoloni, kuwaandaa watu wachache watakaokuwa wanawasaidia Wakoloni katika shughuli za kiutawala. Hata Sasa kwa asilimia zaidi ya 80 mtaala wetu bado ni kwa ajili ya kuwaandaa vijana kwa ajili ya kufanya kazi Maofisini. Ndio maana Kabla ya Ruge...
  19. Entreprenuare

    Naomba Msaada wa mbinu za kukuza na kuendeleza biashara

    Wadau mambo vipi? Nadhani kila mfanyabiashara anapenda kuona biashara yake inakuwa kila siku, au kila baada ya muda fulani, hapa nina maanisha kwamba , kama ulianza kuuza chapati 20 kwa siku, basi tuna tegemea baada ya muda fulani uweze kuuza chapati 50 kwa siku. Sasa, wataalam wa biashara na...
  20. Entreprenuare

    Kwanini unachepuka?

    Embu tuambie hapa, kitu gani kinacho kufanya uchepuke kwa mpenzi au mme/ mke wako? Mimi huwa nachepuka pale mpenzi wangu anavyo kuwa mbali Na mimi.
Back
Top Bottom