Waandaaji wa Tuzo za Soundcity MVP wametangaza orodha ya wasanii wanaowania vipengele mbalimbali kwenye Tuzo hizo Watanzania @Diamondplatnumz @RayVanny @S2kizzy @OfficialNandy @Harmonize_tz na @Marioo_tz wametajwa
.
Diamond Platnumz anaongoza akiwa ametajwa kuwania vipengele 6 Ikiwemo Artist Of...
Huyu kijana naona anazidi kushuka mdogo mdogo yani yeye na management yake yoote Ni watu wa ovyo saaana.juzi kaiba clip ya dancer wa Nigeria ambayo walikua wanacheza nyimbo ya zlatan.yeye akaichukua na kuingizia nyimbo yake mpya ya kushoto kulia ili ionekani imepasua anga zaidi akajua watanzania...
Habari za saizi wakuuu
Kwa mtazamo wangu na kwanilivyo mskiza vizuri huyu kijana hamisi ndo mshindi wangu wa mwaka huu BSS.
Anajua kupiga guitar na kuimba anajua.
[emoji116][emoji116][emoji116]Video
Wakuu mimi napenda sana kuvaaa 'kacha' (Culture) za shanga wanazovaa Wamasai na napenda kuvaa za bendera za Africa, ila kuna watu huwa wananiambia hizi kacha wanastaili wavae watoto wa kike.
Je, ni kweli au?
Habari za saizi wakuu
Wale ambao tumewahi kukanwa na mpenzi mbele za watu tuambaiane ilikuaje.
Mimi nilikuwa na bibie mmoja nilimpenda sana kipindi cha pasaka tulikuabaliana night tutatoka pamoja kwenda club.basi ilivyo fika saa mbili nikamshtua tuende akaniambia anajisikia vibaya so hawezi...
Hongera sana Diamond [emoji119] kwa kunyakua tuzo umeendelea kuonesha umwamba wako kwenye muziki. Huyu jamaa inatakiwa aheshimiwe tu ametutoa mbalii saana kimuziki.
Hongera na Ommy Dimpoz best East Africa Male [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji16]
Habari za saizi wakuuu?
Mwezi uliopita nilikua na demu mahusiano yetu hayukudumu saaana sababu alikua anamambo mengi.alikua na rafiki yake wakaribu saaana mda woote wanashinda pamoja.huyo kwa kipindi hicho tulikia tunaitana shemeji but juu juu tu.
Sasa siku moja niliazima chaji kwa huyo demu...
Habari za saa hizi wakuu,
Huyu kijana kutoka West Africa Nigeria.
Kuzaliwa: 5 February 1996
Mahali alipozaliwa: Abeokuta Nigeria
Nyimbo
1: Jealous 2019
2: King 2019
3: What if I say 2019
4: You 2019
5: Star 2019
Huyu ndio anaemsumbua Rema kule Nigeria kijana anaimba kweli unamsikia sio kama...
Ni usiku wa manane, Diamond yupo chumbani kwake, alikuwa amechoka, usingizi haumpati kwa sababu anaifikiria safari yake atakayoianza kesho kuelekea kwenye matamasha yake nchini Marekani.
Kichwani mwake anafikiria mambo mengi ila kubwa zaidi ni upinzani wa muziki uliokuwa nchini Tanzania...
Habari za saa hizi wakuu,
Hivi hawa wenye wadada wakuitwa Joyce wana matatizo gani🙇?
Nilikua na demu anaitwa Joyce alikua ana maringo sana halafu anapenda sana maisha ya juu na pesa sana.
Na nilimpotezea baada ya kuja ghetto na kuninyima papuchi yaani ananipa masharti mengi eti nikimuoa...
Wakuu nimeumia saana yaani hajapambana hata dakika kumi kaporwa mkanda. Lesnar mshenzi sana
=======
Following a six-month dream reign as WWE Champion, Ghanaian-born wrestler Kofi Kingston saw it all come crashing down in 10 seconds on Friday Night Smackdown.
The title fight against Brock...
wakuu kwa mara ya kwanza leo toka nianze kubet ndo leo napata ushindi kwa kuwaua man u ingawa ni timu yangu ninayo ipenda kutoka kundumbula na wasipo mfukuza kocha lazima tushuke daraja,nimemuua.MAN U,MAN CITY,asrsenal win dr,chelsea win dir.roma1x na nimeshinda.M1 laki6 na 52 na kbla ya kuwin...
habari za saizi wakuu kuna bidada mmoja anakaa mtaani kwetu amepanga nyumbani kwa mshikaji wangu anaishi kwao nyumba ya tatu kutoka ghetto na ni mgeni katokea kyela, bidada kaumbika hatari kila nguo akivaa ni majaribu kwa vijana na nimemuwinda wiki tatu mpaka nikapata namba yake ya simu...
Habari za saizi wakuu,
Mi nikijana Nina umri miaka 24 nakumbuka wakati mdogo kipindi hicho nyumbani tulikua tunakaa na mother,mzee,(kazi zake zilikua za kusafiri safiri)broo1 na mtoto wa broo wangu upande wa mamkubwa wa kike kipindi hicho alikua na miaka 21 namimi nilikua na miaka 12.
Kipindi...
habari za saizi wakuu kuanzia leo tarehe 23 mwezi 9 mwaka 2019 kwa akili zangu timamu nimeamua kuhama manchester united na kuamia manchester city sijalazimishwa na mtu nimeamua mi mwenyewe na sababu zilizo nifanya nihame ni hizi 1.kocha hana mbinu na uwezo wa...
Habari za saizi wakuu nikiongelea kubanja kila mtu anaelewa namaanisha nini. Kuna siku nilienda kwenye gradue ya form4 ya mdogo wangu mbeya pale soko matola kwenye ukumbi wa mkapa kipindi hicho nilikuwa na sumbuliwa saana na kifua ko nilikua na banja kinoma.
Hiyo siku nilikaa na watoto wazuri...
habari za saizi wakuu
hapa nazungumzia games za pc ps xbox kuna games nyiingi saana na kali kiupande wangu game nilizowahi kucheza na ninzuri kwa mpira ni
1.fifa19
2. pes2020
za kivita
1.call of duty morden warfare zoote
2.call of duty ghost
3.protype
4.sniper elite
5.far cry zootee
6.god of war...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.