Kwa Mechanical ni koz changa pale Nit haina muda sana imeanzishwa mwaka 2013 kwahyo si ya muda sana. Unajuaa kitu chochote ambacho ni mwanzo hakikosi changamoto zake..
Watu wa form 6 wanasoma miaka 4 lakini wenye diploma ndo miaka 3 mkuu!!!!!
Usijari kijana mie nipo hapo NIT naingia mwaka wa 3 sasa hapo!!!
Ni koz nzuri kwasababu magari mengi ya sasa yanahama kutoka mechanical mpaka computerlized kwahyo gereji bubu zinatoweka taratibu kwahyo inafanya kuanzishwa kwa sekta rasmi kabisa katika eneo hili.
kwahyo kuhusu ajira sio lazima...
yaah!! hata mm niliwapigia huduma kwa wateja wakasema hawana 3G hapa mjini Koz wanatakaa kuweka 4G lakini nilipowauliza kuhusu lini watakuwa wanapatikana kwa 4G hawakunipa muda sahihi zaidi ya hivi pundee..!!!
ngoja tuwasikiliziee pengine wanawezaa kuwa msaada hapa mjinii..
kaka naona kwa 530Mhz mzigo unapga kaz kama kawaida!!!! sasa tatizo ndo haka ka ujumbe "Non-Conax Program"
kwenye screen tunakatoaje???????????:A S 39:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.