Wakuu, heshima zenu.
Nina tatizo la kuuma mgongo kabla na baada ya kupata HEDHI. nina mwaka wa 2 na hili tatizo na sijawahi kwenda hospitali kwa kujua kwamba ni kawaida. Sasa naona ninakoelekea ni kubaya zaidi.
Nina mtoto wa miaka 13.
Mlawi.
Kila mara ninapoangalia movie huwa najifunza mambo mengi. Kwa hii movie waliowahi kuiona,wake/waume, GF/BF/Nyumba ndogo etc inatufundisha nini?
Muwe na siku njema.
Mlawi.
Point ya mwisho imenifurahisha. Nahisi kama ungekuwa mtihani umepata 100%. Wanaume kama hujaelewa kitu alichoandika AshaDii utakuwa una upungufu wa u bongo wahi kwa Dr.
viherehere vya wanaume sometimes vinacost. Hivi unasomesha mwanamke ni mwanao? Kama umeamua kumpeleka shule kaa kimya. wazazi kuwasomeshha watoto wao wanalalamika?
Pole sana kijana, umengiea choo cha kike .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.