Nataka kuagiza Engine mpya ya Scania 113 Pamoja na ya Toyota Cruiser. Wadau mnaojua wapi wanashughulika na hii issue ikiwezekana mnijuze na bei kabisa.
Uzi tayari
Nimeona kwenye interview ya Salama na Jay Dee Salama na Jay Dee wote wamekiri kuwa hawana watoto. Najua hawa wote wameshafika 40+. wanaume wa Darisalama mnafeli wapi??
Uzi tayari.
mwanamke anamuacha mtu mwenye six parts anaenda kuolewa na mtu tajiri mwenye six cars.akishaolewa anakuja kuchepuka na yule mwenye six parts
Mwanaume anamuacha slay queen anaoa binti wife material mwenye heshima na tabia nzuri then anaenda kuchepuka na slay queens a.k.a malaya wa mjini
Siku...
Kuna mwanandoa mmoja anasema "oa ili ujue kwanini unahitaji mchepuko" hakuna watu malaya kama waliooa, kama kabla ya ndoa ulikuwa una wanawake wawili basi ukioa utakuwa na wanawake wanne.Mliooa mnafeli wapi?
Uzi tayari
Unakuta wewe una pesa nyingi...mke wako naye ana pesa nyingi unamnunulia zawadi ya million nne naye week ijayo anakusurprise na zawadi ya million tatu.It feels so good kwa upande wangu.
Kuwa na hela Raha Sana.Life without money is life that hasn't lived.Uzi tayari
Kuna mzee alikuwa mkali sana kwa binti yake now kazeeka anaumwa basi binti yake kawa malaya mtaa mzima.binti anamuongezea stress tu mzee wake
wenye watoto wa kike/wadogo za kike tupeni changamoto zake
kuna jamaa yangu shuleni ilikuwa ni ugomvi tu na watu wanaowatongoza dada zake.basi akawa...
wajuzi wengi wa magari wamekuwa wakisifia kwamba Landrover Defender engine ya TDI ni gari nzuri yenye engine bora sana.wajuzi hebu mnijuze sifa za hii engine pamoja na engine capacity yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.