Wapima ardhi tunasoma sheria za ardhi zote,
Kama ulikuwa unajua kuwa manispaa kuna idara ya upimaji ardhi kwa nini hamkwenda kwa wakati ili mfanye subdivision ya ardhi?
Aisee mwasibu, umeandika kitu cha maana Sana, hawa watu huwa hawataki kutushirikisha Land surveyors kwenye ununuzi wa ardhi, wakipata majanga ndio wanakumbuka umuhimu wa Land surveyors, na hapo unaweza kukuta diwani kamlipa 10% halafu mkataba wenyewe batili
Nilipe milioni 5 nikupe majibu
Majibu yanapatikana kwenye Sheria ya Usajili wa ardhi, na Sheria ya ardhi, land survey act
-ukinunua ardhi jaribu kuonana na Wakili,au mpima ardhi,
hayo mauzo ni batili 100%, na anaweza kukosa haki yake
unajua utaratibu wa kugawanya ardhi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.