Mh. Waziri pole na kazi. Sisi wakazi wa wilaya ya Mpwapwa tuna kilio kikubwa Sana. Mpwapwa ni moja Kati ya wilaya Kongwe kabisa katika nchi hi. Ni wilaya yenye umri was zaidi ya miaka 60 ila kilio chetu kikubwa . Tena kikubwa sana ni barabara ya lami . Tunaomba usome dm yangu kwa niaba ya...
1. Abrahamu alizaa na mjakazi wake Hajira, bado anaitwa Baba wa mataifa.
2. Yakobo alimwoa Lea na mdogo wake Raheli isitoshe akazaa na wajakazi wake wawili, Zilpa na Bilha, na akabarikiwa kuwa taifa teule la Israel.
3. Mfalme Suleiman alikuwa na wake 700 na masuria (michepuko ) 300, lakini...
Wanabodi habari...
Kichwa Cha habari chahusika
Nina milion 2 tu natafuta kiwanja Dodoma eneo la Msalato au Veyula. Kiwe na ukubwa was nusu heka na kuendelea. Umbali kutoka barabara ya Dom arusha hata ikiwa km 3 sio mbaya ilimradi maji na umeme viwe karibu.
Asanteni
Wanabodi habari...
Kichwa Cha habari chahusika
Nina milion 2 tuu natafuta kiwanja dodoma eneo la msalato au veyula. Kiwe na ukubwa was nusu heka na kuendelea. Umbali kutoka barabara ya Dom arusha hata ikiwa km 3 sio mbaya ilimradi maji na umeme viwe karibu. Asanteni
Mimi Mtanzania, nikiwa na na akili timamu, naahidi;
1. Kujitoa kwenye media za mabeberu (facebook, insta, twita na whatsapp).
2. Kuacha kutumia intaneti
3. Kuvunjavunja televisheni yangu
4. Kuchoma nguo zangu zote na viatu ambavyo havijazalishwa hapa nchini.
5. Kupinga mtaala unaofundishwa...
Baaasi buana,
Jana ile nimekaa na wadogo zangu katika ku-stay home.
Mdogo wangu mmoja umri wake ni kama miaka sita hivi.
Akaanza kunipigia hadithi moja hivi.
Hadithi hadithi,
Hadithi njoo uongo utamu koleaaaa.
Hapo zamani za kale alikuwepo baba mmoja, mke wake na watoto wake watano.
Huyo...
CORONA VIRUS
ITALY: Lockdown
CHINA: Lockdown
DENMARK: Lockdown
NORWAY: Lockdown
IRELAND:close all school and cancel mass gathering
USA: close all school and ban European plane
TANZANIA : osha mikono yako kwa maji safi yanayo tiririka [emoji848][emoji1787][emoji124]...
Wadau kuna kitu mnitoe Tutani.....
Hivi Nissan Extrail injin zake zote ni sawa au zingine zinatofautiana???
Na pia kama zinatofautiana ni model IPI na IPI????
Nafahamu Nissan zina ugonjwa wa kuzima zima injin,
Kingine Dosari yake yake nini????
Naombeni wataalam wote tutiririke
Na kuna...
Kwasasa wabunge wa ccm na wabunge waupinzani hawapikiki chungu kimoja, lkn kama kuna hoja inayoweza kuwaleta pamoja na wakaungana kwa nguvu zao zote ni hoja ya kuweka ukomo wa ubunge kutoka ubunge wa milele na kuwa ubunge wa miaka 10,hapo ndipo utajua kuwa hakuna mtetezi wa wananchi bali...
Kama thamani ya kura yangu sintoitambua sijiandikishi wala sipigi kura Kama kuna watu walioandaliwa kuwa viongozi kwa nguvu kura yangu ya nini?
Kama nsimamizi atashangaza kumtangaza mshindi halali ili hali anapewa mshahara, gari,nyumba na ulinzi akamtangaze tofauti na anaependwa na anaemlipa...
WACHAWI WA GAMBOSHI WAMEANZA KUFANYA MAAJABU YAO, WAANDAA MAANDAMANO KIMYA KIMYA.
Ivi maandalizi ya maandamano haya yalifanyikia lini?
Je maandalizi haya yalifanywa/kuhamasishwa kwa njia gani, je ni kwa njia ya mikutano ya hadhara au njia ya mitandao?
Kama jibu ni kwa njia ya mikutano ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.