Jamani napenda kuuliza hivi majibu ya maombi kwa waliomba awamu ya pili ambayo tangazo lilisema yataanza kutoka kuanzia tarehe 20/6/2022, tiari kwenye account za wengine maana yangu kila nikiingia inaniandika hivi, na tatizo ni nini?
Kuna dogo lilikuwa na cm ya rafiki yake likapigiwa simuna matapeli wa mtandao kuwa katume pesa kwa wakala mwambie kaka ndo kanituma na hyo wakala tunafamiana, nae akatuma kumuomba dogo hela hana, jamaa kamuweka ndan,sasa nauliza hivi kosa hilo tukienda mahakamani anaweza fungwa, wanasheria...
Nimelipia nacte ili nipate award verification number, lakini mpka sasa sijaona chochote, mwenye uelewa, tafadhali anisaidie, huwa wanamaliza siku ngapi kuituma.
Leo dirisha la kuomba kusoma vyuo vikuu mbalimbali limefunguliwa, naomba mwenye ujuzi jinsi ya kuomba anisaidie.
Pia tunaomba chuoni moja kwa moja ama TCU, ukiniwekea procedures utakuwa umenisaidia sana.
Kumekuwa na mitazamo mbalimbali juu ya suala la kuendelezana kimaisha Kati ya wanandoa, wengine wanasema ni kupotezea muda na mali, wengne husema ni jambo sahihi kabisa, Je eti kumsomesha mwanamke ni kupotezea fedha au ni jambo sahihi?
Wadau kwa nini ukitumia kondomu, ukipiga bao la kwanza huwa jamaa anakufa tena huenda usipate kabisa hamu ya kurudia tena, nini kinasababisha, najua wahanga tuko wengi.
Kumekuwa na maelezo mengi kutoka kwa wanawake kuhusu kutolewa bikra zao. Wengne husema bikra zao hutolewa kwa kuendesha baiskeli, wengne kwa kufanya kazi ngumu.
Siku moja nikakutana na kidemu changu ndo ilikuwa siku ya kwanza baada ya kumaliza kanasema nimekatoa bikra wakati hata damu...
Hivi ni kwanini wanawake huwa hawana maamuzi juu matumizi wa kingamaana akishaingizwa chumbani tu mwenye maamuzi huwa ni mwanaume?
Mwanzon anaweza uliza ziko lakini baadaye haulizi tena au anaweza kuuliza ukajifanya kuivaa ila ukitaka kupenyeza tu unaitoa na anaendelea tu
Hivi ni kwa nini mwanaume akigundua mke wake anachepuka, ama mpenzi wake anamsaliti huwa mkali na mwishowe kuvunjika kwa ndoa, ilihali na yeye huwa anachepuka?
Wadau hebu tujadili hapo tuone tatizo ni nni hasa, kwa nini asichukulie kawaida?
Wadau Mimi ni mwalimu.mwaka huu wa masoma 2021/2022 nimepanga kwenda masomoni,naomba ushauri wenu kwa upande wa education Kuna course gani nyingne nzuri tofaut na hizi ,BAED art au BAED science,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.