Jamani napenda kuuliza hivi majibu ya maombi kwa waliomba awamu ya pili ambayo tangazo lilisema yataanza kutoka kuanzia tarehe 20/6/2022, tiari kwenye account za wengine maana yangu kila nikiingia inaniandika hivi, na tatizo ni nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.