Da! Pole sana kaka, ila hawa wa2 cyo. Au unaingia kwa mkwara mzito baadae unashindwa kuhimili mapigo? (gharama). Utakae mpata mhoneshe maisha ya kawaida saaana. Na huconeshe kama unampenda kivile den husimhadisie kuhusu wale X-machangu yako
Hivi ni kwa nini akina dada na mama ndo wanalalamika hasa kuhusu kusalitiwa, lakini wao hawajioni. Mi nshafanya uchunguzi utakuta boy akikutana na dem hata km hamjui anahapa kuwa atampata na kweli baada ya mda anakula na anasepa na unakuta si mmoja. J e hao wanakuwa awana mabwana au!,? Na hasa...
Do yani hapo umenena cz evem mi nimempiga marufuku my lover kuingia face bubu na thanx amenielewa. YAni hasa ma Do wamezidi bwana ua ndo wanajiuza kwa njia hiyo ili jamii hisiwagundue?
Pesa inayoongelea ni hipi hasa! ya kujikim na maisha ya kila siku au ya kipedesheee,? Mi nadhani inabidi umuzoheshe mpz mazingira yote ukiwa na nacho na husipokuwa nacho ili akuelewe .
Nna dem wangu yapata mwaka sasa. Bt nimeshangaa tangu juzi nikisex nae baada ya bao la kwanza nguvu zinaisha kabisaa wkt ye anakuwa bado anaitaji. Analalamika eti either na mtu mwingine wkt sina. Sababu nini na sina mawazo wala nn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.