Kama unaamini Rwanda inajitegemea bila msaada wa wazungu na hao wazungu hawana mkono kwenye mauaji ya kimbari na wako nyuma ya PK kwenye machafuko anayoendeleza nchini Kongo utakuwa una uelewa mdogo sana juu ya siasa za maziwa makuu. Kwanza huyo Kagame bila baba yake Museveni ni takataka...
Ndio maana umeambiwa level yako ya uelewa wa propaganda za kivita ni ndogo mno, lengo la Israel sio kushambulia vinu vya nuclear bali kutuma ujumbe kuwa vinu hivyo vinafikika iwapo ataamua kuvishambulia, vivyo hivyo lengo la Iran kutuma drones 300 lilikuwa si kushambulia bali onyo
Hata chini ya hapo, mwaka 1964 Mirisho Sarakikya alipandishwa kutoka Captain hadi Brigedier na kupewa U CDF, Abdallah Twalipo mwaka 1978 alikuwa Major General
Huelewi jamaa anachozungumzia, Mwigulu ni mjumbe wa Baraza la Udhamini la Yanga ambalo kisheria ndio wamiliki wa timu kwa niaba ya wanachama hivyo Mwigulu, Mama Fatma Karume, George Mkuchika na wengine hao ndio wamiliki wa Yanga
Hoja ni kujulikana kwa Simba ndio maana imeshiriki, timu Utopolo kwa vile haijulikani ilimtuma Mwana FA akawaombee nafasi ya kushiriki, walipokataliwa wakadai ni mashindano ya upinde. Tuone kama msimu ujao hawatashiriki mashindano ya " upinde"
Siamini kama ule ndio msimamo wa Rais kutoka moyoni, Makonda ni "mtoto" wa Rais hata kama hajatamka hadharani, ni vigumu sana pamoja na makandokando yote yanayojulikana wazi Rais amemrudisha enzini, haiwezekani Rais pamoja na vyombo vyake asijue rekodi nzuri ya bwana Makonda ya kutuhumu watu...
Uko sahihi, ni mara ya pili kufika nusu fainali, mara ya kwanza walifika mwaka 1969 pale walipotoka sare na Asante Kotoko na matokeo kuamuliwa kwa kurusha shilingi, baada ys shilingi kurushwa nahodha wa Asante Kotoko aliwahi kwenda kangalia na kukimbia huku akishangilia, nahodha wa Yanga wala...
Wewe ndio unachanganya Kasim Dewj na Mo haziivi, wao ndio walikuwa wanamuwekea Zengwe ili asichukue timu,yeye na kundi lao la Friends of Simba na pia Barbara (mtu wa Mo) alimnyima tenda ya jezi na kumpa Vunjabei. Labda umemchanganya na Azim
Nyie ndio mnafanya Manara aonekane mkweli kuhusu JK na baba yake, kwa hiyo wewe mechi ya CAF umeona dhidi ya Al Ahly tu? ya Wydad, Asec na Jwaneng hukutazama ndugu Mwakarobo first year class of 2024?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.