Wadau poleni kwa kazi. Nikienda kwenye hoja ya msingi, Ijumaa iliyopita bungeni, Mbunge wa Gairo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, Ahmed Shabiby akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2024/2025, aliiomba serikali kuweka tozo ya Shilingi...
Dina Mgala, mke wa mfanyabiashara maarufu wa maduka ya kufua nguo kwa machine jijini Dar, Khalid Laundry amefikishwa katika kizimba cha Mahakama ya Mwanzo, Ilala Mtaa wa Pangani akidaiwa kuingia mitini na Shilingi Milioni 22 za mjasiriamali anayejulikana kwa jina la Zenna Kengera au maarufu Anti...
Wadau poleni kwa majukumu ya kila siku. Kwa mujibu wa utafiti wa kina, Kampuni ya Mabasi ya Shabiby Line ndiyo watoa huduma bora nchini.
Shabiby Line yenye huduma ya usafiri kwa madaraja ya kawada hadi VVIP wamepewa Tuzo ya Watoa Huduma Bora Tanzania (kwa usafirishaji kwa njia ya mabasi) ikiwa...
Mkoa wa Morogoro ulifanya uchaguzi wake wa kumpata Mwenyekiti wa Mkoa ambapo rafu mbaya akichezewa mgombea Nasoro Duduma aliyekuwa mmoja wa wagombea.
Baada ya uchaguzi huo uliyompa ushindi James Masunga, baadhi ya wajumbe walionekana kumwoneshea kidole Mbunge wa Morogoro Vijijini, Inocent...
Kupanda kwa bei ya mafuta nchini…
WASANII, MADAKTARI ‘WAIANGUKIA’ SERIKALI, WAISHAURI
JUZI, Serikali kupitia Ewura, imetangaza bei mpya ya mafuta ya Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa ambapo mbali na mikoa mingine, Mkoa wa Dar es Salaam, Lita 1 ya Petroli imekuwa Shilingi 3,400 (ongezeko la...
Wadau habari zenu? Poleni na majukumu ya siku. Zipo habari kwamba, tenda ya kuingiza mafuta nchini ambayo wamepewa baadhi ya wafanyabiashara wachache nchini ambao wana uswahiba na kigogo wa wizara hiyo.
Kwa mujibu wa mtoa habari mmoja wa ndani ya wizara hiyo, kigogo huyo amewapa tenda...
Mchungaji wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Mbagala-Dar, Arist Bukombe amesema endapo serikali chini ya Rais Samia itaruhusu mfanyabiashara yeyote mwenye uwezo wa kuagiza mafuta toka nje, afanye hivyo itapunguza bei ya bidhaa hiyo ambayo kwa sasa imefikia Tsh. 3000 kwa Lita...
Nyota wa Sinema za Bongo, mjasiriamali na mwanamitindo anayepanda kwa kasi nchini, Jacqueline Wolper 'amevunja kibubu' kwa kumnunulia baba wa mtoto wake, Richi Mitindo zawadi ya cheni mbili, pete moja, vyote vya madini ya dhahabu (gold) kwa thamani ya Shilingi Milioni 25 ikiwa ni 'sapraizi'...
Wadau salamu.
Hivi karibuni Kanisa la Kiinjili la Kiluteri Tanzania (KKKT) limekumbwa na migogoro ya kiuongozi na waumini wao, hususan Dayosisi ya Konde, lakini ukweli ni kwamba, hata Benki ya Maendeleo ambayo inatajwa kuwa mmiliki wake ni KKKT pia ina sintofahamu
Kifupi, hii benki, imefungua...
Wadau, tayari Serikali kupitia Latra imetangaza bei mpya ya nauli nchini ikipanda kwa asilimia karibia 20-22 tukio linalokwenda sambamba na ongezeko la bei ya mafuta iliyotangazwa na Ewura.
Kupanda kwa bei ya mafuta kunatajwa kuwa chanzo kikuu ni kushuka kwa uchumi wa dunia uliyosababishwa na...
Wadau salama? Hoja yangu iko juu ya mhariri mkuu wa Gazeti la Jamhuri, ndugu Deodatus Balile.
Yapo madai kwamba, wewe ndugu mhariri huwa unaandika habari kulingana na maslahi yako binafsi, isiyo na maslahi huandiki. Madai yapo. Amini madai yapo siyo kwamba unachafuliwa.
Kuna madai kwamba, hoja...
Wadau poleni kwa kazi. Nijikite kwenye mada yangu kuhusu matamko ya baadhi ya wawakilishi wetu bungeni (narudia tena ni baadhi).
Hivi karibuni, Mbunge wa Gairo, mheshimiwa Ahmed Shabiby alitoa hoja kuntu kabisa kwamba, ili kupunguza kupanda mara kwa mara kwa bei ya mafuta nchini, muarobaini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.