Jambo humu!
Nakumbuka miaka hiyo, nikiwa katika jiji la A. Makala. Katika eneo nililokuwa naishi, jirani yangu kulikuwa na binti mlimbwende sana. Nilimtamani kwa muda lakini bahati sikuwa na mazoea naye kivile. Siku ya siku, mida ya saa moja jioni, nikiwa katika pub jirani napata windhoek zangu...
Nakumbuka kuna mfanyakazi mwenzangu aliinitaa sehemu ( ni mmama na alikuwa kanizidi san umri). Bila hiyana nilienda. Nilimkuta akiwa na mfanyakazi mwingine wa idara moja, huyu alikuwa mke wa mtu. Tulikunywa zetu hadi mida ya saa mbili usiku hivi. Basi yule Mmama akaniita pembeni akaniambia, hebu...
Juzi kati, kuna rafiki yangu, alitoka kwao kusalimia na alikuwa kalewa chakari. Baada ya kufika mjini mida ya saa mbili usiku alinitafuta na nikamuelekeza nilipo. Baada ya kufika aliendelea kunywa na baada ya muda mfupi alienda chooni kujisaidia. Huko chooni alivua koti na kulitundika ukutani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.