UWAZI,UMAKINI,NI JAMBO ZURI KWA VIONGOZI WETU TUNAKUSHUKURU KATIBU KWA UFAFANUZI MZURI NA UMAKINI WA KUJIBU HOJA KWA WAKATI UNAOTAKIWA BIG UP KUBWA CHADEMA NGUVU YA UMMA
Thanks
viti maalumu magamba kweli hili nalo zuzu kanumba anakampuni kwa nini hakuajiri mabody guard wake km alikuwa anahitaji hilo,kwa hiyo tutumie hela za walipa kodi kuwalipia wasanii mabody guard siyo hana point kabisa na je watu wa sinza hawahitaji usalama kweli mazuzu wako wengi lkn eti sisi...
Nakumbuka Jana waziri mkuu aliulizwa pesa za Korosho akawa anajibu kama hazijui na kila kitu kiko kwenye mchakato sasa Tanda himba poleni fedha ziko kwenye mchakato sasa amua mwenyewe chukua hatu CCM HOYEEEEEEEEE
Haya ni mambo ya kushangaza sana lkn TBC nimewazoea sana si chombo cha umma kabisa ni chombo cha Tabaka fulani watueleze TV hiyo ya umma imeingiza kiasi gani cha hela kwenye urushaji wa matangazo ya mazishi haya na je kunaumuhimu gani wa kurusha matangazo haya mchakato wa uchaguzi na mambo...
Sio tu nchi maskini ni nchi ya wajinga walio wengi + maskini wa kufikiri hv tangia 1961 mpaka leo spika alikuwa nakaa wapi na hii nyumba ni kwa ajili ya akiwa kikao kwa vikao vingi vya kamati vinafanyika Dar na huko ajengewe nyumba tena kidumu chama cha magamba
Posho hizo wadau inaonekana jamaa hakujipanga wakati ana deliver hoja yake sasa akavue samaki ziwa Tanganyika na akivua samaki wadogo tutamchukulia sheria mjengoni Bye Bye
Kuna dalili za kiushabiki na kuteteana kwenye Bunge letu Mh Shekilindo anaongea tofauti na wengine ,katibu wa bunge naye anaongea luwake ,spika anongea vingine pia unashindwa kuelewa nani yuko sahihi ,Shelukindo anadai posho rais kazikataa ,spika anakubali zimepitishwa,katibu anaeleza...
Jambo naloshindwa kumwelewa huyu bwana ni mipaka ya nafasi yake kama katibu mwenezi wa chama wadau si kwamba anatakiwa awe beneti sana na kina Kapten Komba kuhakikisha nyimbo za kukisifu chama zinatungwa na kuimbwa vizuri pia kuunda vikundi vingine vya burudani nao mwisho wake ni hapo km...
Ni kweli kashangiliwa lkn ni kati ya watu hawana msimamo anauchu na ikulu pia ni kati ya watu wanafiki ambao wanatoa hoja nzito lkn kuitetea hawawezi kumbukeni Bunge lililopita na akiwa anamsidia waziri mkuu kujibu maswali alivyokuwa anajaribu kuzizima hoja za msingi kwa taifa letu kweli mgema...
Wana Jamii forums nachokiona hiki si cha kushangaza sana nilichokigundua Makatibu wengi wa Chama Cha Mafisadi (ccm) ni waropokaji ambao uwezo wao wa kufikiri uko below 0 negative kwa mstakabali wa nchi yetu ni waropokaji,wazushi,wazunguza pumba na ukiwabana hawana cha kujitetea sidhanai kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.