Habari wapendwa.
Kama kuna mtu anafremu au kuna dalali anayofrem dar es salam maeneo yafuatayo MBEZI,KIMARA, MAGOMENI, MAKUMBUSHO
Anitafute tuweze kuwasiliana kwa number 0675128093
WAKUU habari
Kumekuwa kwa miaka mingi sana asa asa kwa vijana na watu mbali mbali, kwenda dar kufanya maisha biashara kuajiriwa etc. Mimi kama kijana nimekuwa naona kwa mda kidogo vijana wengi wakienda dar kupambana na maisha mjini Dar kumekuwa na wengine wanafanikiwa, Siku ya leo kuna mdogo...
Merry Christmas and happy new year
Katika maisha kama binadamu tunapitia mengi na changamoto nyingi sana kwangu mimi nimewai pigwa fixi na bint niliyekuwa na mahusiano nae kuwa amebeba ujauzito wangu nilipagawa sana maana nilikuwa sijajipanga ila mwisho wa siku alikuwa ananidanganya aikuwa kweli
Wapendwa habari ya jioni ................ leo jion natoka zangu kwenye mizunguko yangu nikapigiwa simu na mpenzi wangu ambae tupo mbali yeye yupo mkoa mwengine na mimi mkoa mwengine baada ya salama mbili tatu na kusalimiana vizur akaniambia. anaumwa na uo mkoa yupo kufanya shuuli za wazazi wake...
Wakuu habari ya jioni, kama mnakumbuka wiki chache nyuma nilileta uzi hapa jukwaani kuhusu mahusiano nilonayo na aliyekuwa mpenzi wangu baada ya kushindwa vituko vyake nimeamua sasa kumtamkia maisha mema japo inauma lakini sometimes lazima kuacha kung'ang'ania sehemu ambayo hupendwi
Wakuu habari gani?
Mimi nilikuwa na mahusiano na binti mmoja since 2014, nilirusha ndoano na mahusiano yetu yakaanzia hapo. Kutokana na harakati za maisha na nini, mimi nilitoka mkoa ule na kwenda mkoa mwengine kiutaftaji kwahiyo mawasiliano yakawa mtiahani kutoka mwaka 2016 adi 2020 tukawa...
Amani iwe nanyi umu ndani nilikuwa naomba ushauri dawa ya kuongeza maumbile ya kiume aina matatizo labda kupunguza uwezo wa sex kitandani
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika gari ambazo lazima nije nimiliki ni pamoja na Scania, hizi gari hata zikipita mbele ya macho yangu naona fahari kweli afe kipa afe beki, SCANIA FOR LIFE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ya humu Katika harakati za hapa na pale nikawa nimebahatika kupata ka usafiri kakunisogeza hapa na pale kwenye mitikasi ya kila siku shida ni moja sina leseni nimejalibu kudodosa wanasema inatakiwa niwe na namba za NIDA na mimi NIDA sijajisajili nakitambulisho cha mpiga kula tu je naweza...
Abar wakuu me nikijana nimejikita sana kweny biashara na kupitia biashara nazo fanya nimefanikiwa kuwa na acount bank zifuatazo NMB CRDB BOA msaada wenu kwa walio wai kopa kweny benk tajwa apo juu benk gan inamasharti Rais kweny mikop na riba zao Asanteni
Habar ya wakuu Wafanyabiashala tuambiane kero za awa jamaa TRA juz niliagiza mzig wangu wa duka kutoka dar kweny aya makampun ya kusafilish mizigo mikoani pale yard wanaposhushia mizigo TRA wakawa wameenda kukagua wamekakuga wakakamat mizig ming ukiwepo na wangu nauliza tatizo nini wanasema...
Habari za asubuhi wakuu, uzi huu ni kwa ajili ya kupeana moyo kwamba kufeli shule sio kufeli maisha,
Nakumbuka niligeuka house boy nyumbani kazi zote nilifanya mimi hadi kuosha vyombo huku madogo wamekaa tu kilikuwa kipindi kigumu kwangu, ila Mungu hakunyimi vyote mtaani kumenifaa sa hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.