Muda huu nimetoka kung'oa jino la juu yaani la 4 kutoka nyuma kuja kwenye haya mawili ya mbele..Ni kama dakika10 hivi...ila panatisha kichizi..kwanza mapicha yamebandikwa ya meno mengine meno yameharibika kichizi daah unaeza ukalia mzee😂..Nakuta foleni aaf mbele kuna mdada ilipokaribia zamu yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.