Search results

  1. tutaweza

    Hivi Haji Manara ni msemaji wa Simba au mchambaji Yanga?

    Acheni hasira wanayanga. Hata kipindi nyie mnatamba na kujiita wa kimataifa mlikuwa kila uchwao mnawaandama simba na kuwaita wamatopeni. Huu upinzani wa simba na yanga kwa Tanzania ni jadi.
  2. tutaweza

    Msaada wa Hospitali zinazotoa kadi ya Homa ya manjano

    Pia posta mpya kwenye bandari ya boti za Zenji. Nadhani wanafanya mara mbili/tatu kwa wiki.
  3. tutaweza

    Kampuni kubwa ya uhasibu ernst & young, yafuta degree kuwa kigezo cha ajira.. wamegundua chuo kikuu hakina umuhimu zama hizi

    Inaonekana umeitafsiri vibaya hiyo habari. Sio kwamba shahada ya kwanza haina umuhimu tena, bali ni ule ufaulu wa kiwango cha juu katika shahada ya kwanza. Mwanzoni waomba ajira ambao hawakufikia kiwango flani kwenye ufaulu wa shahada zao walikuwa hawapati nafasi ya kuendelea na hatua nyingine...
  4. tutaweza

    Sakata la ACG na Spika ni madudu yaliomo kwenye report yake tukiachana na 1.5 trillion kuna madudu ya spika binafsi.

    Rekebisha heading, ni CAG na sio ACG Sent using Jamii Forums mobile app
  5. tutaweza

    Sarakasi za Vote 20 iliyopokea bilioni 978 ripoti ya CAG

    Aisee nchi za Afrika zitatawaliwa na viongozi wa ajabu ajabu kwa miaka mingi sana. Hususani kama kuna watu wengi wenye mawazo kama haya. Yaani anaona ni sawa kabisa kiongozi wa nchi kubadilisha matumizi ya fedha za umma. Ndio maana hata Mobotu alikuwa na wafuasi. Nilitarajia ungeanisha udhaifu...
  6. tutaweza

    Hili suala la Benki kuweka wazi taarifa za fedha za mtu kwenye sakata la Mwanza limekaaje?

    Kama walivyosema baadhi ya wengine kwamba tatizo labda ni jina la mtoa taarifa kujulikana. Ila kuhusu benki kuripoti muamala kama huo kwa vyombo husika ipo sahihi kabisa. Nchi yetu pia ina sheria zinazohusu utakatishaji wa fedha. Ni wajibu wa benki kutoa taarifa wakitilia shaka muamala wowote...
  7. tutaweza

    Wafanyakazi jijini Dar, leo wameandamana kumpongeza Rais Magufuli kuhusu kikokotoo

    Hah hah! Wameandamana siku/saa ya kazi? Nani kawaruhusu? Wamepata mpaka mgeni rasmi? Sidhani kama hao wanawakilisha wafanyakazi wote. Hawajaandamana wakati sheria na kanuni zilipobadilishwa ili kuvipinga, ila wanaandamana kupongeza kwa kikokotozi kurudishwa kama kilivyokuwa awali. Hawataki...
  8. tutaweza

    Watanzania tuna salamu ndefu sana

    Ni utamaduni mzuri. Kwanza unaendelea ukaribu na pia ni rahisi kugundua kama rafiki/ndugu yako hayupo sawa hata kama atajibu yupo sawa. Inapunguza isolation kwa watu wenye hatari ya kupata msongo wa mawazo. Ndio maana takwimu za watu kujiua kutokana na msongo wa mawazo kwa nchi kama TZ ni ndogo...
  9. tutaweza

    Itifaki imekaaje hapa

    Hao nao ni binadamu. They deserve to enjoy and celebrate
  10. tutaweza

    Watanzania wana uelewa mdogo kuhusu Pension Fund, 25% ni maamuzi sahihi

    Pole wewe. Kwanza kwa kudhani naongelea kwa akili ya darasani tu. Nimekuambia source ili ukajisomee. Ninachoongelea ni wewe kusema hiyo ni defined benefit plan na wakati ni contribution plan. Unadhani wale walioweka utaratibu wa fao la kujitoa hapo kabla walikuwa mazwazwa na hawajafanya...
  11. tutaweza

    Watanzania wana uelewa mdogo kuhusu Pension Fund, 25% ni maamuzi sahihi

    Umeandika maneno mengi halafu umepotosha. Mfumo unaotumika Tanzania huo wa waajiri na waajiriwa kuchangia amount flani kwenye mfupo wa pension kama NSSF unaitwa defined contribution plan na sio defined benefit plan (kasome IAS 19 - Employees Benefits). Na moja ya tofauti yake kubwa ni kwamba...
  12. tutaweza

    Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Inj. Cyprian Luhemeja ametembelea mradi wa maji wa Chalinze ili kujionea maendeleo ya mradi

    Ila huu mtindo wa kuteleleza majukumu na kujirusha kwenye media si mzuri. Hawa wanataka waonekane na wateuzi wao kwamba wanafanya kazi. Sasa huyo jamaa alichokifanya ni moja ya majukumu yake na sio habari hapo ni ipi. Itafikia siku tutaandika, 'xx amefika ofisini kwake saa moja kamili ikiwa ni...
  13. tutaweza

    Precious Kibaha Sec

    Na wazee wa kutupia suti ili kuzamia sherehe za Bertil Merlin mpo? Salamu kutoka Scandia
  14. tutaweza

    Nimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4)

    MUNGU anaponya kwa Jina la YESU KRISTO. HE sent his Word, to heal our diseases.
  15. tutaweza

    WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

    Itakuwa wamejifunza kitu (nafasi yao katika jamii) kwa kupitia wale wenzao wa DRC
  16. tutaweza

    A Perspective on Diamond Platinum’s “Hallelujah” Single

    Thanks for voicing out. I share your concerns.
  17. tutaweza

    Walichokifanya Urusi kwa Marekani ndio walichotaka kufanya Chadema katika uchaguzi wa 2015

    Siku hizi humu ndani kila mtu anajua. Hivyo vitu ulivyofananisha hata haviendani. Marekani hawaishutymu Urusi kwa ku-hack mfumo wa uchaguzi . Wanachoishutumu ni kwa ku-hack emails za democrats na kuzivujisha wikileaks kitu ambacho wanadhani kime-influence uchaguzi wao. Usifikiri waliingia kwenye...
  18. tutaweza

    Ukweli kuhusu hali ya Mabenki Tanzania.

    Mtoa post umeandika mengi kwa utaalam kabisa. Nakubaliana na wewe kwamba sekta ya fedha nchini haina hali mbaya ya kutisha ila pia ni ukweli usiopingika kwamba kwa mwaka huu sekta ya fedha itapata matokeo mabaya kulinganishwa na mwaka uliopita. Na pia kumbuka kama umetumia interim results za...
  19. tutaweza

    Rushwa Fixed Account: Msajili na Gavana wanatuona watanzania hatuelewi chochote

    Naona kila mtu ameshakuwa mtaalamu wa fixed deposits za mabenki sasa. Kwanza mtoa mada unasema fixed deposits accounte ni current bank assets? Deposits zote za wateja kwa upande wa benki ni liabilities maana ni mali za watu. Kuwa current au non-current ni suala la maturity yake. Pia hayo mambo...
Back
Top Bottom