Search results

  1. stakehigh

    Kwa nini Bitcoin Halving ni Tukio la Kawaida na Si Lazima Lipandishe Bei Siku Hiyo

    Bitcoin halving, linalojulikana pia kama "nusu ya zawadi ya block", ni tukio linalopangwa ambapo idadi ya Bitcoin mpya zinazotolewa kwa wachimbaji kwa kila block iliyothibitishwa hupunguzwa kwa nusu. Hii hutokea takriban kila miaka minne, na imeundwa kudhibiti idadi kamili ya Bitcoin...
  2. stakehigh

    Mafuta kupanda bei baada ya israel kurusha makombora Iran

    Oil and gold prices have eased after Iranian authorities appeared to downplay reports of an attack from Israel. Brent crude, the international benchmark, fell after jumping briefly to over $90 a barrel after reports emerged of an attack. Gold briefly came close to a record high before settling...
  3. stakehigh

    Truong My Lan mdada alieiba asilimia 3% ya Gdp ya vietnam

    Truong My Lan mdada alieiba asilimia 3% ya Gdp ya vietnam https://www.youtube.com/watch?v=__nTGfQi9N0
  4. stakehigh

    Jamani kueni makini na hawa vijana wa forex

    Naomba mnaojaribu kujiunga na izi biashara za forex muwe makini, sio kila kitu online ni cha kuamini
  5. stakehigh

    Fahamu haya kuhusu biashara ya Bitcoin

    Ingawa biashara ya Bitcoin inaweza kuwa na faida kubwa, ni muhimu kutambua kuwa ni uwekezaji hatari sana. Kabla ya kuanza biashara ya Bitcoin, ni muhimu kuzingatia mambo yafuatayo: Hatari za Biashara ya Bitcoin: Tete: Thamani ya Bitcoin inaweza kubadilika sana kwa muda mfupi. Hii inamaanisha...
  6. stakehigh

    Safari yangu ya kutafuta maisha mjini

    Episode 1: Safari ya Maisha (Safari of Life) Nilifika mjini nikiwa na ndoto kubwa mfukoni na shilingi chache mkononi. Nilikuwa nimekimbia maisha magumu kijijini, nikiamini mjini ndio mahali penye fursa tele. Lakini nilipogonga kituo cha mabasi, niligundua safari yangu itakuwa ngumu kuliko...
  7. stakehigh

    Kwanini hakuna safari za boat kutoka Dar mpaka Tanga?

    Wakubwa bila kuongeza maneno mengi, mwenye majibu tafadhali
  8. stakehigh

    Serikali imelipa zaidi ya 2.9 bilioni kama riba ya ucheleweshaji wa malipo kwa makandarasi, Prof: Assad anajifunza nini hapa?

    Wakati ujenzi wa kipande cha Dar – Morogoro ulitakiwa kukamilika katika kipindi cha miezi 30 baada ya kuzinduliwa, na muda huo umepita, haifahamiki sababu za kuchelewa kwake wala siku ya kuanza kutumika. CAG Charles Kichere alibainisha katika ripoti yake ya miradi ya maendeleo ya mwaka 2019/20...
  9. stakehigh

    CAG Assad alisema ni mtu mjinga pekee ndo anaweza kufanya manunuzi cash: Anajifunza nini Entebbe Airport?

    Uganda to surrender Entebbe International Airport over Chinese cash - ------------- Top Ugandan officials have been boxed into a corner of bother after lenders in China rejected their request to re-negotiate ‘toxic clauses’ in the $200m (Shs713b) loan picked six years ago to expand Entebbe...
  10. stakehigh

    Umoja wa Mataifa uwaangalie China kwa jicho la pili

    - Binadamu hua tunaitwa SELF DESTRUCTIVE specie, maana yake ni viumbe wenye uwezo wa kujimaliza wenyewe ukilinganisha na viumbe wengine wote basi binadam tuna sifa hizo, kila nkiwaza vita ya kwanza na ya pili ya dunia, napata wasiwasi sana na kasi ya uundaji wa rocket za masafa marefu ya china...
  11. stakehigh

    Tanzania picked Africa's leading travel destination

    TANZANIA has been voted Africa’s leading destination in 2021 World Travel Awards (WTA), the listing announced yesterday with Serengeti named the continent’s top national park and Zanzibar the best beach destination. - The country has been nominated in 'Africa's leading destination' category...
  12. stakehigh

    CCM ni kati ya vyama vikubwa duniani (nyuma ya India, China, Pakistan na Uturuki)

    - Wanasema "NUMBERS DONT LIE": Katika list ya mwisho ya MAY 2020, wazi ikionyesha chama cha 10 duniani zenye wanachama kati ya mil 5 mpaka 50: lakini ikiwa ya 12 kwa jumla ya vyama vyote duniani https://en.wikipedia.org/wiki/List_of_largest_political_parties - CCM inapoendelea na sera zake...
  13. stakehigh

    Chanjo ya majaribio ya VVU yashindwa kuleta matokeo chanya barani Afrika

    Chanjo ya VVU ambayo imekuwa ikisubiriwa kwa shauku sana ya Johnson & Johnson imeshindwa kuonesha uwezo wa kutosha katika jaribio lililohusisha zaidi ya wanawake 2,600 Kusini mwa Jangwa la Sahara. Ingawa chanjo ilionekana kuwa salama, bila athari mbaya, ufanisi wake katika kuzuia maambukizo ya...
  14. stakehigh

    Tanzanian avocado exports poised to grace SA tables

    The South Africa Avocado Growers Association (Saaga) has been pushing to have the regulations to resolve a sanitary issue that has seen Tanzania’s Hass and Fuerte avocado exports to South Africa confiscated at the Beit Bridge border crossing because of a pest infestation scare. South African...
  15. stakehigh

    Uchumi ni nini?

    Uchumi ni nini? Uchumi ni jumla ya shughuli zote za binadamu zinazolenga kutosheleza mahitaji yao. Ni hasa uzalishaji, usambazaji na utumiaji wa bidhaa pamoja na kutolewa kwa huduma kwa njia mbalimbali. Uchumi mara nyingi hutazamwa kwenye ngazi za kijiji, eneo, taifa au dunia. Sayansi ya Uchumi...
  16. stakehigh

    #COVID19 Dar records 8-year high coffee exports thanks to COVID-19

    Magufuli aliliona hili mapema ======== Dar records 8-year high coffee exports thanks to COVID-19 Tanzania has recorded an eight-year high coffee export this season thanks to lockdown which spiked coffee drinking rates due to the Covid-19 pandemic. The export in the 2020/21 season was...
  17. stakehigh

    Kwanini CHADEMA wanamwona Mbowe wa kipekee (exceptional)?

    Nawasalimu kwa jina la Lowassa Hivi karibuni naona vijana wa CHADEMA wanamwagia sifa sana mzee baba Mbowe, naombeni mtuambie ni nini haswa kinachomfanya Mbowe apokee sifa zote hizo wakati kila mtu anajua ni kada mtiifu wa CCM. Whats so special about him?
Back
Top Bottom