Search results

  1. D

    Tanzia: Katibu wa CCM wilaya ya Ilala afariki kwa ajali ya gari Morogoro

    Pole kwa familia yake, mungu alitoa na ametwaa, jina lake lihimidiwe amina
  2. D

    Siku Mwalimu Nyerere alipotua Baghdad na kumfokea Saddam Hussein

    Kama kuna kitu hakipo sawa, haukifahamu byema ni bora ufuatilie kwanza ukipata ukweli ndipo ulete humu, kama wewe binafsi huna uhakika dhidi ya kile unachokifanya utawezaje kuwaambia viongozi wako ya kwamba hawajui historia hiyo vizuri
  3. D

    Tulia Ackson akiwa na jeneza anaizika CHADEMA Mbeya Mjini

    Unàshangaa hilo wakati waziri wa mambo ya ndani ya nchi alicheza mziki wa kitaani na kina mama wa kanga moja. Bora huyo aliyefanya maagizo, maana amezingatia nidhamu, japo kwa hadhi yake hakupaswa kuyafanya hayo aliyofanya
  4. D

    Fatma Karume asimamishwa kufanya kazi za Uwakili Tanzania Bara kwa kosa la kuishambulia ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG)

    Kwani waliamua kuondoa hiyo kesi bila kufuata taratibu za kisheria? Kama vigezo vyote vimezingatiwa, inashindikana kitu gani kurudi mahakamani na kukata rufaa ili haki ya kisheria iweze kutendeka. Mlalamikaji kuendelea kutoa shutuma wakati nafasi ya kurudi mahakamni anayo sidhani kama itakuwa...
  5. D

    Kuna wengine kwenye picha hii bado wanataka tuwape uongozi!

    Ndio maana mheshimiwa rais ameliona hili na anajaribu kuwapatia vijana nafasi waweze kuleta michango chanya katika maendeleo ya taifa
  6. D

    Hukumu ya Ado Shaibu Vs Magufuli kesho

    Hata asiposhi da kuna kitu kitakuwa kimeonekana
  7. D

    Mzee Lowassa: Kwa sasa nchi imeshika adabu na mambo yanakwenda vizuri. Bado tuna tatizo la ajira nchini...

    Nakubaliana na mheshimiwa Lowasa kuhusu namna ya kutatua tatizo la ajira nchini, kwanza kabisa wanafunzi wafundishwe ujuzi na siyo kushindiliwa maarifa na nadharia ambayo katika maisha yao hayatawasaidia sana katika maisha yao na badala yake vijana wataendelea kumaliza na kurudi mtaani. Jambo...
  8. D

    Tuwe wakweli, zaidi ya Mbowe nani ana uwezo wa kuiongoza CHADEMA kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020?

    Mwenyewe naunga mkono kwa sasa chadema hakuna kiongozi imara anayeweza kuhimili mikikimikiki siasa za upinzani hapa nchini
  9. D

    Tetesi: Bilioni 1.9 zaibwa CHADEMA, Wingu zito latanda. Wabunge wagoma kuchangia chama

    Katika kuelekea kwenye uchaguzi wa serikali za kitaa, tutashudia mambo mengi ikiwa ni pamoja na kashifa na betrayal nyingi sana, watu wanatakiwa kuelewa ya kipindi hiki kina maana gani hasa katika maisha yao, wanatakiwa kutambua ya kwamba vyama vya upinzani vinapitia katika hali gani kwa sasa...
  10. D

    Wabunge waasi CHADEMA hawa hapa

    Binadamu wameumbwa kuwa wabinafsi katika maisha, wanataka mambo mazuri yawe upande wao peke yao hawataki upande wa pili, lakini pia hawako tayari kuruhusu kuumia kwa muda fulani ili baadae wacheke kwa pamoja, kwa sasa asilimia kubwa ya wawakilishi wetu bungeni wapo kwa ajili ya matumbo yao na...
  11. D

    Bernard Membe: Bila uhuru wa vyombo vya habari, Serikali itakuwa dumavu

    Nafikiri ndugu Bernard Membe anatakiwa atulie tu amwache bwana mkubwa aendelee na mchakato wa kulivusha taifa, zama zake zimepita, kama hakupata nafasi ya kuwatumikia watanzania kwa namna ilivyokuwa inatakikana itoshe kwa kile alichoweza. Waswahili wanasema ya kwamba adui yako akikushinda ungana...
  12. D

    Rais Magufuli afanya uteuzi na kutumbua. Dr. Bana, Kipilimba waula. RC Kebwe wa Morogoro achinjiwa baharini

    Hongera zao kwa wale walioteuliwa katika nyadhifa mbalimbali, kikubwa wanatakiwa kwenda kufanya kile ambacho rais amewaagiza na siyo vinginevyo, tumekuwa tukishuhùdia teuzi nyingi zikiwemo baadhi kuenguliwa kwenye nafasi zao, hii inadhihirisha wazi ya kwamba watu hawatendi sawasawa na...
  13. D

    CHADEMA, Zitto, Tundu Lissu jifunzeni kwa Jeremy Cobyn

    Kulinganisha kiwango cha siasa za tanzania kama developing country na Uingereza kama developed country ni ufinyu wa fikra na ubakaji wa taaluma
  14. D

    Amini nawaeleza, Rais Magufuli atawasamehe wote lakini si Kinana!

    Nahisi kuna kitu hujakielewa kutoka kwenye biblia, nijuavyo mimi ni kwamba, biblia haijaweka mipaka ya kusamehe, na ndio maana Raisi kasema ya kuwa tumeumbwa kusamehe kulingana na maandiko, na kakiri kwa kinywa chake kwamba, wakati mwingine ni vigumu sana lakini usipofanya hivyo unaenda kinyume...
  15. D

    Sura ya pili ya waomba Msamaha kwa Rais itizamwe kwa jicho la tatu pevu. Nadhani Rais anahitaji kuwa makini zaidi

    Mwenyezi mungu anapotoa msamaha huwa haangalii kingine zaidi ya dhamira ya muomba msamaha, wewe ni nani hadi kumpa mheshimiwa raìsi tahadhari? Yeye kasema amesamehe kipi unachotaka akifanye?
  16. D

    Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

    Kikubwa amesamehewa, kama kuna mengine nje ya hapo wanajua wao, wakati mwingine siyo kila makofi yanayopigwa kwa ajili yako yana maana ya kwamba umefanya yaliyo mema mengine ni kejeli iliyojaa kashifa
  17. D

    Makamu wa Rais aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri

    Mfano wa kuigwa sana, na hii inaonyesha ukomavu wa siasa
  18. D

    Kupata kazi au cheo bila ‘connection’ sahau

    Njia pekee ya kuepukana na kadhia hyo ni kujiarir pekee, kwa sasa ajira imekuwa ngumu ukiendelea kukaa ukisubiria ajira utazeekea nyumbani
  19. D

    Spika Ndugai aomba muda kujibu hoja za Tundu Antipas Lisu

    Kesi za namna hii zimekuwa zikiigharimu serikali kiasi kikubwa sana cha pesa, wamekuwa wakifanya maamuzi ya kukurupuka bila kufanya upembuzi wa kina mwisho wake serikali imekuwa ikiishia kulipa pesa nyingi baada ya kushindwa kesi, kiukweli kwa namna ambavyo jamaa alifanyiwa, spika angekuwa ni...
Back
Top Bottom