excuse me wakuu,
Nina wakati mgumu coz huwa ninatongozwa na wasichana mpaka sasa wanne hivi kwa nyakati tofauti hao ndi nimekua nao kwenye mahusiano, ila sasa ninaowataka mimi siwapati huwa nikiwaambia ukweli wananiweka pending et tutakufikiria. na mim nikiambiwa hivyo huwa nakata tamaa...
Natarajia kuanza mwaka wa kwanza katika chuo cha mipango Dom, course ya Development Administration and management. asa nataka kujua ni masomo gani nitayasoma ndani ya hyo course. wakuu naomben msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.