Na unapondondoka uwajani je? Kama serkali na raisi wake aliye madarakani haijali afya sembuse vyama vidogo vya upinzani ? Au tukubaliane kuwa kwa CCM kuomba kura ni muihumu kuliko afya
Huyu MKenya kashinda kwa kutumia Masaa 2: Dak 4 na sekunde kama 50. So nadhani analamba $100,000 . Hata washindiwa pili na watatu nao wamo ndani ya masaamawili ina dk 6
Hata ukiwapa uraia badosiasa zitawavuruga labda tungesema wenye vipaji vyak ukimbia tanzania tuwatafutie uraia wa Nchi kama Norway, sweeden Qatar . Tubinafsishe kitengocha mchezo wa riadha utaona.
Kuna wakenya wengi wanapeperusha benderaza mataifaya nje
Son of Alaska Mbona ingekuwa London marathon ni kwa ajili ya wabuge wote duniani basi nina hakika Taanzania tungekuwa tuna hata washiriki 10 . Sababu siasa ndiyo tumeipa kipaumbele kuliko mambo mengine.
Hivi jamani hakuna wameru,waarusha, Wairak au watanzania wowowte wanakidhi vigezo vya kushiriki marathon.
Kigezo nimesikia mtangazaji akisema ni uwezo wa kukimbia kwa muda wa masaa mawili na dakika 18.Sasa hapa nimekabaki na maswali
Watanzania hatuna afya ya kukimbia marathon ...
wala huitaji kufanya kwa CMD unatumia Whois tu utaanza kupata taarifa za muhusika
domain: shopping.co.tz
registrant: OG1-TZNIC
admin-c: OG1-TZNIC
nsset: NS-SHOPPING
registrar: REG-TZNIC
status: paid and in zone
registered: 23.03.2012 17:47:31
expire...
Mimi nachojua hata bajeti yaTanzania huwa inasowa kukamiisha ratiba tu.Hakuna financial discpline Ndioa maana
Hata bunge lenyewe liliomba nyongeza ya posho katikati ya mwaka wa fedha .......
Wanaotakiwa kusimamia Finacial dscpine ya serikali (Bunge ) ndio wanaonyesha kutokuwa na hiyo...
Jitahidi kulewa japo sheria zinavyofanya kazi . labda ungehoji kwa nini Lulu sio kuwanausa mabnti wengine? Lakini kutuhumiwa tu haina maana niMkosaji nahata kama niMkosaji bado hata wauwaji wana haki ya utetezi.
Rais mseven wa uganda alibwan na BBC kuhusu U gay .
Akasema tatizo nchi za ulaya zinataka kuimpose tamaduni zao africa.Akasema magay africa wamekuwepo na wapo lakini maisha yao kwa tamaduni (zetu )africa ni private . Mseven akasema Tatizo linakuja pale tunalazimishwa tuupromote...
Reaserch proposal ya kiswahii ni tungo tata.
Una maana research propasal ya subject/mada ya kiswahili au ni reserch propsal ya siasa au Historia ya sayansi ya magonjwa au ya mada yoyote ile iliyoanadikwa kwa ugha ya kiswahili.
Wahtaver the case just google proposa template/samples ya mada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.