Mie namtafuta Dada yangu anahitwa Benedicta (Kabene) kwao ni Kitaya Ibwera Bk kwa mara ya mwisho tulionana mwaka 1979 nasikia alikuwa anakaa Kigoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukibadiri ndo utakuwa bwege kwani wewe ndo unampenda yeye akupendi? Mpaka akupe masharti? Omba Mungu atakupa mwingine hata Isaka walimtafutia wa ukoo wake tafakari
Hongera hii bajeti upande road license imesaidia sana mtu unatembea kwa amani hata matrafiki waliozoea kuanzia kwenye kioo nakuomba mtonyo wameumia, kwa hili tupongeze
Wana wa nchi hii wakiwa bado na majonzi na uchungu uliotokana na ghiliba za kikundi cha watu wachache, waroho wa madaraka waharibifu na wakatiliwa hali ya juu, waliodiriki kuitumia katiba vibaya kupora haki ya walichochagua.
Sasa Taifa linazidi kupondwa na kuumizwa na kundi lilelile kwa mbinu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.