Kila ninapotizama chaguzi zinazofanyika hasa katika nchi za kiafrika,nahisi kupoteza maana ya demokrasia.
Kama hii ndiyo tafsiri yake basi kama kuna kitu cha kuogopa kukisogelea ni hiyo demokrasia inayoleta maana ya ubadhilifu wa haki za msingi za wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.