Unaijua Rhumba wewe. Kuna nyimbo kuzielewa hadi uwe na hadhi na aina fulani ya maisha. Wewe ni Mtoto wa 2000 hujui usemalo, sio kila wimbo unakata viuno.
Kamsikilize Fayya Tess au Nzelle ya Madilu kisha uandike upya
Mkuu huyo achana naye,
Uzuri ni kwamba Akifika Kimara akakuta ule Mkeka wa Njia 6 lazima aseme Magu ni Kiboko.
Hata Umeme anaotumia sasa ni maamuzi Magumu ya Magu kule Bwawa la Nyerere.
Akienda Mjini lazima apite pale Kijazi, akitaka kwenda Coco lazima apite Tanzanite Bridge aseme Magu ni...
Wabongo kwa kupenda kukosoa hatujambo. Mzee wetu japo katupa mawili matatu kama namna ya kutufariji tayari ishakuwa nongwa! Acheni unafiki na ujuaji basi, mnafanya Viongozi wanakosa UHURU wa kutueleza mambo yenye msisimko kwa Viherehere vyenu.
Hongera sana Bw Mdogo.
Hapo Kigoma kwa Mtaji wako wa 1.5M waweza anza na Biashara ndogo.
1. Nunua Freezer, Baiskeli na Dell la barafu. Agiza kijana toka Kibondo. Funga barafu za Vikaratasi kijana anasambaza mmashuleni nk. Ukiweza vijana wawe zaidi ya mmoja.
2. Tafuta Vijana uzza mayai ya...
Eti wewe naye ni Mwandishi wa Habari, umejaa mihemko na Hasira huna hata hoja. Kwa hisia zako unapaswa uwe fundi baiskeli tuu.
Wenye akili zako Walipinga Iringa, wakapinga Mbezi nk nk leo kadri Muda unavyoenda mnaopinga kuweka Stendi nje ya Mji mnaonekana watu msio na Exposure na wenye akili...
Una mental case Mkuu, endapo unashindwa kucontrol Eggo na Emotional yako totaly wewe sio binadamu kamili. Ulichojibu tayari kinatafsiri wewe ni mtu wa ina gani? Na unapaswa kujibiwa na Mtu wa karba ipi na hapo ndipo ule usemi wa Lucy Ema na Manara Jr unajidhihirisha.
Ule ni Mpiraa au FUTUHIII? mechi imekosa msisimko, soon Ligi itakosa Mvuto tunarudi kuleeeeeee!
anyway wenye akili ni wawili tu huwezi kuelewa madhara ya kinachofanyika.
Mkuu Hapo Dodoma Ofisi nyingi zinaanza sasa, Familia mpya zinachipukia. Tafuta eneo fungua kijiwe cha Miti, agiza ile Miche ya Kisasa ya SUA uza, Uza Maua, Uza Nyasi, Tengeneza Kampuni yako tafuta tenda ndogo maofisini kutengeneza Bustani na kupanda miti.
Anyway nawaza njia nilizopita enzi hizo...
Kuruhusu Bajaj katikati ya Jiji/Majiji ni ishara ya Ujinga na Umaskini. Mji umejaaaa bajaj mbovu zinasababisha foleni, hazifuati sheria za usalama barabarani ni vurugu tuu. Fukuza mjini hizo dude
Kwa Familia za Kiafrika ukiona hivyo tambua wewe Una nyota, Kata mnyororo wa Umaskini, Jiimarishe Kiroho, usikate tamaa pambana hapo hapo zidi kuwekeza. Epuka kuwajibu hao ndugu kaaa kimia kama huskii kama huoni. Pi uwe mwangalifu pindi unapokutana nao na ukiweza weka kauzibe ka kuwakarbia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.