Huyo wa Political Science & Public Administration anaweza kuomba hata Udiwani kama kwingineko pamejaa. Mwenye Political Science na Philosophy kwa Tanzania hao wana nafasi ndogo sana ya ajira maana Philosophy inaua zaidi!! Labda ikiwezekana namshauri afungue plant ya habari na kuchapisha...
Wadau, wakati mwingine mtu anaweza kujidai mkali na mwenye hasira ya wazi lakini kumbe ni funika macho tu. Wa watu wa Ta-best (Tabora) nawaminia kwa unafiki na ubunifu wa maneno ya kupotezea potezea!! Hizo ni kauli za kupumbazisha tu.
Mkweli pole na karibu katika uwanja wa mapambano. Wiki kadhaa zilizopita niliona tangazo la kazi za Fani yako kwenye ubalozi wa USA Rwanda. So kama vipi chonga na information officer wa US Embassy pale Msasani huenda ukajikwamua na hiyo nia yako!!
Nawasilisha,
Dolby.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.