Nimempoteza baba yangu mzazi
Sijui hata nisemeje
Baba ndo alikuwa kila kitu kwangu[emoji22]
Roho inaniuma baba kafa kanipambania mwanae nisome leo baba kafa ikiwa hata hajala mkono wangu nikiwa still napambana kupata kazi
Nimebaki yatima mimi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mtu aliyesoma Community development hizi course zote kazisoma ndani yake Community development ndo inameza masomo yote yanayohusu social issues na development issues kama ifuatavyo.
-Social welfare
-Social work
-Sociology
-psychology
-Guidance and counseling
-Economics
-Development studies...
Naombeni mnisaidie nipate kazi ndugu zangu labda humu jukwaani nitapata msaada
Nimehitimu mwaka 2022 Degree ya maendeleo ya jamii
Nina diploma pia ya maendeleo ya jamii. Nina certificate pia ya maendeleo ya jamii
Nimehangaika sana suala la kazi hadi nimejikatia tamaa nimekua ni mtu wa...
Hongereni wenye kazi nzuri na msiokua na maisha ya shida
Kuna watu mna bahati sana mmezaliwa mnakuta wazazi wenu wapo vizuri kiuchumi mnakuzwa maisha mazuri kila kitu home kipo yaani ni mboga saba
Shule mmesoma nzuri na za maana, hamna kitu mlikosa maishani, hamzijuwi shida tokea mzaliwe...
Maisha haya daaaah nina certificate ya Maendeleo ya Jamii, nina Diploma ya Maendeleo ya Jamii, na nina Degree ya Maendeleo ya Jamii na nipo mtaani tu sina kazi najipambania tu na vijimishemishe sikai nyumban najitegemea ila masimango nayoyapata kwenye simu na ndugu yananiuma sana.
Naonekana...
Mliowahi kujaza system ya taesa mnisaidie mimi nimejaza zile Required information zote na vyeti kila kitu na profile nimeweka kila kitu.
Kipengele ni kwenye submit CV hapabonyezeki yaani inakua tu hivi najiuliza nimekosea nini mbona kila kitu nimejaza sahihi? Wakuu nakosea nini? Hii...
Ni hospital gani ya serikali ambayo ni wana gharama nafuu za matibabu?
Ninahitaji kufanyiwa vipimo nina maumivu ya kiuno sana na mguu mmoja wa kushoto
Niliwahi kwenda Amana mwanzoni wana gharama kubwa balaa niliondoka pale nishamaliza kama laki hivi
TEC nawapa kongole leo na uislamu wangu nilienda kwenye parokia ya karibu tu na mimi nisikilize waraka wa maaskofu kuhusu huu mkataba wa DP world ilikua ni leo jumapili
Nilikua sifahamu kama leo huku Iringa huu waraka ungesomwa rakini wameusoma vizuli sana mimi sio mtu wa dini sana na huwa...
Kuna mambo yananishangaza ni mara kadhaa maeneo ya Kariakoo, Posta, Upanga hadi Mnazi mmoja nakutana na school bus za shule ambazo ni za wahindi watupu
Hii imekaaje shule kuwa ni za watu wa race aina moja tu?
Imenishangaza sana
Ndugu zangu naombeni mnishauri katika hili, nimemaliza chuo bado issue ya ajira nimepanga kachumba kamoja ndo najitafuta hapa kimaisha nabangaiza bangaiza.
Nina rafiki yangu tokea chuoni huko wote tunaishi humuhumu Dar sasa alinambia atakuja maeneo ninayoishi. Huwa anakuja mara kwa mara...
Nina wiki ya 4 sasa nasumbuliwa na maumivu ya mguu wa kushoto kuanzia kiunoni chini ya goti la kushoto mguuni panakua panakufa ganzi kabisa
Ninashindwa kuinama kabisa mfano kuokota kitu chini au kuinama nifunge kamba za viatu nashindwa
Nilienda hospital nikaishiwa kupewa pain killer tu hapa...
Nilikua napitia mashirika mengi wanatangaza kazi mbalimbali kipengele kikubwa wanataka mtu mwenye uzoefu tena unakuta ni miaka 5 hadi 7
Sasa ndugu zangu humu kuna mtu amewahi kuomba kazi hizi za NGO's na akapata akiwa from fresh student yaani kamaliza chuo na hana uzoefu wowote?
Nauliza maana...
Humu kuna mtu anafanya kazi utumishi na ajira? Au anayemfahamu mtu anayefanya kazi utumishi na ajira?
Jamani kuna mtu anaweza kunipa msaada wa afisa utumishi yoyote wa Dodoma? Nimechoka nimepiga simu zao tokea asubuhi hazipokelewi. Nyingine napiga hazipatikani, nimeenda ofisi yao ya pale...
Nimekosa nafasi ya usaili nikiambiwa sikuhakiki vyeti kwa mwanasheria ilihali nilifanya hivyo na vyote kwenye mfumo vimehakikiwa
MIMI NIMEKOSA KUITWA USAILI HIZI AJIRA 800 ZA MAENDELEO YA JAMII ETI WANANAMBIA VYETI HAVIKUHAKIKIWA NA KUPIGWA MUHURI MWANASHERIA AU MAHAKAMANI CHA AJABU VYOTE VYOTE...
Kuna siku nilileta thread humu kuomba ni namna gani naweza kupata msaada wa rufaa yangu ya bodi ikapita na mimi nikaongezewa chochote kitu maana to be honestly napata mkopo kidogo sana napata asilimia 40 tu na hapo ada ilobaki najilipia mwenyewe,kodi, kila kitu ni mimi tu .
Kiukweli Jf ina watu...
Nimekuta huu ujumbe sijui unamaanisha nini
"Due to unusual level of activity, responses are delayed, You are in service queue number . Customer with service number 69936 Is currently being attended. Please continue to wait!!"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.