Kwa haya yanayoendelea ya kunyanyasana na watu kutumia mabavu unadhani Mungu ataibariki TZ? THUBUTUU! Kila kukicha na laana tu. Tuombe atakase uovu kwanza
Hahahahaha! MAHAKAMA! MAHAKAMA! MAHAKAMA! KWANI MAHAKAMA NI NGENI? HAMNA JIPYA HAPO! We jiulize, Ule mgomo phase II si ulizuiliwa na mahakama pia?! Nini kiliendelea baada ya madaktari kula msimamo na kuendelea kugoma? Si ilifyata! Chezea madaktari eeh! Mtasoma plate number tu, haooo...
Nahisi we jamaa ni mgonjwa kabisa na ninadhani ulizaliwa na Mtindio wa ubongo (Cerebral Palsy. Hivi sijui ueleweshwe vipi ili uelewe kwamba hapa hakuna cha kutishwa wala kuufyata, kilichofanyika ni busara tu madaktari kurudi kazini huku majadiliano yakiendelea. Na hii ni kutokana na rais...
Hapa tu ndo mnaniboaga mkianza kampeni zenu za kuwapigia debe wanasiasa. Bila shaka umepewa ka-mkate kufanya hiyo kazi. Haya bhana endeleeni kumsafisha tunasubiri kuona
Wewe nadhani huna sifa ya kuwa mtz na huna machungu na nchi yako. Hivi kwanza unajua tunafanya kazi ktk mazingira gani mpaka utoe ushuz* wako huo? Tutagoma na tutaendelea kugoma kama tunafanya kazi kwenye mazingira hatari ya kupata Hepatitis na HIV kama ya tz, wakuu wa nchi hawaoni haya na wala...
Miaka 50 ya uhuru kwenye taifa lililojaa umaskini, ufisadi, uchu wa wa madaraka, na ubabe katika uongozi. Sioni hata tunachosherehekea na kutumia gharama kubwa na jasho la wananchi maskini ni kitu gani hasa ukizingatia;
1.Hatuna madawa na vifaa mahospitalini
2. Ni madaktari wangapi mwaka huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.