Kama unakiri kuwa waliwaanika mafisadi hadharan,kwann na ww usiende hadharan kuwaanika hao ukiwa na ushahd wa kutosha kama walivyofanya wao?sasa kuishia fb tu unadhan inatosha?ha2paswi kuwa wanafki,wajuvi na wambea kiasi hiki.
kutokuona utofauti kwako ni ujinga ulonao kitaaluma,hv ulishawahi kuona kiongozi asiyewasaidia wananchi wake hapa duniani?hata baba wa taifa kuna wakati alihmiza na wakati aliwaletea wananchi vifaa vya kazi,sasa ww ucchoelewa nn!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.