Yani namaanisha naweza nikatoka na king'amuzi changu ninachotumia huku kikafanya kazi nikifika huko.? Kama wanavyofanya watanzania wanaotumia ving'amuzi vya Azam Tv nchini Afrika ya Kusini
Habari wakuu,
Naomba tu kuuliza kama inawezekana nikatumia king'amuzi cha DSTV cha Afrika ya kusini nchini Tanzania. Nimeona nchi kama Zimbabwe na Malawi wanatumia sasa sijajua huko nyumbani iko vipi?
Leo wakati nataka kuchek Quarantine ya Diamond nikajikuta nashuhudia maajabu na rekodi mpya ambayo Diamond Platnumz ameivunja.
Tukio lake la kuweka rekodi hiyo limetokea dakika chache zilizopita. Diamond anafuatiwa na Millard ayo ambaye kwa sasa ana viewers M933 na huku King wa bongo Fuleva ana...
Nakumbuka wakati mzee anahamia Tabora mwaka 1999 Tv yetu ilikuwa inaonesha chenga tu hakukuwa na Itv kule sasa ikabidi tuwaulize wenyeji wa pale kuwa wanaangaliaga wapi Tausi? Kuna kijana mmoja akasema kesho twendeni niwapeleke,basi si akatupeleka Pale Game park kuangalia Tausi ndege na sio...
Me niliondoka Tz last month. Nilikuja likizo nikakaa miez 5. Kiukweli kama isingekuwa ile ticket ya return nahisi mpaka leo ningekuwa Tz natafuta nauli ya kuondokea. Jua linawaka mpaka mifukoni. Vyuma vimekaza jamani ila tusisahau kuwa ukiona Mambo yanazidi kuwa magumu basi ujue neema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.