You know nothing, ukihisi wazuri hawana watu wanao walilia basi we bado mtoto Sana kwenye hivi vitu.
Na ukifikiri wanaume wenye hela kwenye mapenzi hawateteleki ama kuumizwa basi napo hujui chochote.
Tuliwaambia toka mwanzo hii Vita itakuwa mbaya kwa Russia mwenyewe kwa namna yoyote Ile mkabisha na kutuita mashoga!
Kiko wapi na hapo bado, western sio watu wazuri na next time tofautisheni mahaba na ukweli.
Uchumi ndio hasara kubwa, Russia uchumi wake hauwezi kuwa sawa Vita vikiisha.
Nchi yenyewe uchumi wake ni budget ya USA kwenye jeshi pekee kwa miaka mitatu[emoji16]
Nyongeza, Ukraine hana Cha kupoteza plus toka lini Russia akashindana na Ukraine.. Russia anataka kushindana na USA kitu ambacho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.